u cant make peace na wapalstna
tatizo ni kwamba hao hao waplstna wana makundi makundi mengi yanayopingana na hawana common say.
israel ikizembea kuwekeza kijeshi kesho tu inafutwa kwenye uso wa dunia.
naumia kuona watoto waipalestina wakifa ila ebu nieleze ungekuwa top security adviser wa israel ungepigana kwa staili ipi kuepusha watoto deaths while wanatumika kama shield ya wapalestina/
Marytina maneno yako ni kama unauma huku unapuliza!
Maneno unayoyasema ndio maneno wanayotumia waisraeli wanapoua wanawake na watoto wasio na hatia!
Issue hapa sio wapigane vipi!
Issue ni kipi chanzo cha fujo na mapigano!
kama ulimwengu mzima wanavyo fahamu Waisraeli ni wizi wa mabavu wa ardhi. Tena sio ardhi tu! Bali ardhi yoyote yenye rutuba ndio wanayoiba!
Sijui kama unafahamu kitu kinaitwa "ethnic cleansing!" Ni utaratibu wa unyanyasaji wa kuwadhulumu wapalestina ardhi na nyumba zao. Na kutenganisha watu wa familia moja kwa makusudi ili wapate kuwaweka chini ya amri yao.
Wameitenga tenga palestina kiasi kwamba mtu akitaka kwenda kimtembelea mama yake mzazi mpaka aombe ruhusa kwa myahudi! Mageti kila kona ya nchi! " remember south africa apatheid! " divide and rules"
Haya si ya kuhadithiwa nimeyaona mwenyewe kwa macho yangu.
Wakristo na waislamu wa palestine wanaishi ktk living Hell. Sababu.!?! Myahudi!
Umoja wa mataifa unapiga kelele za kinafiki. Sababu americans wana support unyama huu.
Kwa hiyo nikijibu swali lako.
Kama mimi ningekuwa Top security adviser wa israel ningemfahamisha waziri mkuu kuwa" Tuwache kudhulumu haki za wapalestina. Na ile tuliodhulumu turudishe kwa wenye haki hio. (Manaake iko siku tutakufa. Na hio ni hakika. Halafu tutakutana na Mungu Mkuu. Tukajibu tulichowafanyia viumbe wengine!)
Na baada ya kusema hayo ningejihudhuru kabisa.na kuhama nchi.
Manake nnafahamu hawato litekeleza hilo na wataendelea kuua watoto mpaka siku Mungu akipenda. Likatokea taifa lenye nguvu likawashinda na kuwaamrisha(sio kuwaomba!) Kurudisha haki ya wale maskini walio wadhulumu.
Na naomba mungu aniweke hai nipate kuiona hio siku!