Uingereza yahairisha kuondoka EU mpaka 2019

Uingereza yahairisha kuondoka EU mpaka 2019

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Habari ndiyo hiyo, Uingereza haiwezi kutoka EU!
Na hilo linazidi kujidhihisha kila siku zinavyozidi kwenda, sasa wanasiasa wapya wa nchi hiyo chini ya Bi.Theresa May ambaye hata hivyo hajachaguliwa na raia wowote yule wa Uingereza wamesema kwamba nchi hiyo itaanza mchakato wa kujitoa EU siyo leo, wala kesho bali 2019, ndiyo 2019!

Say no to ,,African electronic Passport"!
 
Habari ndiyo hiyo, Uingereza haiwezi kutoka EU!
Na hilo linazidi kujidhihisha kila siku zinavyozidi kwenda, sasa wanasiasa wapya wa nchi hiyo chini ya Bi.Theresa May ambaye hata hivyo hajachaguliwa na raia wowote yule wa Uingereza wamesema kwamba nchi hiyo itaanza mchakato wa kujitoa EU siyo leo, wala kesho bali 2019, ndiyo 2019!

Say no to ,,African electronic Passport"!

Mkuu, tuwekee hapa source ya taarifa hii....though huwa najiuliza, unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili...
 
Mkuu, tuwekee hapa source ya taarifa hii....though huwa najiuliza, unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili...

Mkuu, tuwekee hapa source ya taarifa hii....though huwa najiuliza, unawaza kwa kutumia kiungo gani cha mwili...


Sijakuelewa unaweza kufafanua kama ukipenda!
 
Back
Top Bottom