Uingereza: Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip atimiza miaka 99

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mwanamfalme Philip ambaye ni mume wa Malkia wa Uingereza, Elizabeth II kwa zaidi ya miongo 7 anasherehekea miaka yake 99 ya kuzaliwa, leo Juni 10

Philip 'The Duke of Edinburgh' atatumia muda wake katika nyumba ya Kifalme ya Windsor huko Magharibi mwa London ambapo yeye na Mkwe, Elizabeth (94) wapo kwa kipindi hiki cha 'lockdown'

Hiyo inamaanisha kuwa Wanafamilia wengine watatuma salamu za kumtakia heri ya kuzaliwa kwa kutumia mazungumzo ya video (video calls)

Mrithi wa Malkia Elizabeth ambaye pia ndio mtoto mkubwa kati ya watoto wanne wa Philip, Mwanamfalme Charles amesema hajamuona baba yake kwa muda mrefu sana

Philip alijitoa katika majukumu ya kifalme Agosti 2017 baada ya kukamilisha zaidi ya matukio 22,000 na hivi karibuni amekuwa akionekana mara chache hadharani ila Aprili 2020 alionekana alipotoa shukrani kwa wanaohusika na kupambana na #COVID19

EaHUM7fWkAAzj32.jpg
====

Prince Philip, the husband of Britain’s Queen Elizabeth for more than seven decades, celebrates his 99th birthday on Wednesday, although there will be little public fanfare to mark the occasion.

Britain's Queen Elizabeth II and Britain's Prince Philip, Duke of Edinburgh, poses in the quadrangle of Windsor Castle ahead of his 99th birthday on June 6, 2020. Picture released June 9, 2020. Steve Parsons/PA Wire/Pool via REUTERS
Philip, the Duke of Edinburgh, will spend the day privately at Windsor Castle, west of London, where he and the 94-year-old monarch have been staying during Britain’s coronavirus lockdown.

That means the rest of the royal family will have to send their best wishes to him by video calls.

“I haven’t seen my father for a long time. He’s going to be 99 next week,” heir-to-the-throne Prince Charles and the oldest of his four children told Sky News last week. “Facetime is all very well ... You really want to give people a hug.”

The royals make little fuss about their birthdays in public but this year celebrations have been even more muted.

Traditionally, the prince’s birthday would be celebrated with gun salutes in London but with social gatherings banned, the queen felt it would be inappropriate for such royal ceremonies to go ahead and cancelled such tributes for her own birthday in April for the first time in her 68-year reign.

However, Buckingham Palace did release a new photograph of the royal couple to celebrate Philip’s birthday, taken last week at the quadrangle inside Windsor Castle.

Philip, a former naval officer renowned for his sometimes brusque manner and occasional verbal gaffes, married the then Princess Elizabeth in 1947, five years before she became queen. He is now by far the longest-serving consort of any British monarch.

He stepped down from royal duties in August 2017 after completing more than 22,000 solo engagements but in recent years he has been increasingly rarely seen in public.

He did, however, break his retirement silence in April to issue a statement thanking those involved in the fight against COVID-19.
 
Hivi, ufalme ni nini hasa? Mkeo akiwa malkia wewe huwi mfalme automatically? Hivi ndivyo ilivyo hata kwa wanaume? Wale malikia zama hizo, hawakuwa malikia kupitia vyeo vya waume zao?


Ufafanuzi tafadhali

Wafalme ndio wanawapa vyeo vya Umalikia wake zao na sio kinyume chake
Ndio maana hata mama yake na Malikia Elizabeth alikuwa Malkia baada ya King George kuwa Mfalme
Kwa hiyo Elizabeth alipokuwa Malkia mme wake akapewa cheo cha prince tu ila majukumu ni mengi na mpunga mwingi
 
Back
Top Bottom