Sijui kama una akili hata kidogo kichwani mwako. Kwanza umekazana msaada msaaada, unaweza kuniambia ukipata hayo kajibu yatakusaidia nini maishani mwako?
Haya basi tuje kwenye swali lako ambalo nitalijibu kwa swali. Ukiishi Zanzibar miaka 20, hiyo ni guarantee kuwa utakuwa unajua kuogelea just because Zanzibar imezungukwa na maji?
Mi namjua wa dada kama watatu hivi wa Tz wanaishi leicester miaka zaidi ya kumi na hawajui kuongea,barua mpaka wasomewe na marafiki.
ila wazungu wana akili sana.
Unaweza kuta mtoto ana miaka miwili au mitatu,
hajaenda hata shule,
ila chokoza kingleza balaa!
Aongea ka maji!
hapa hadi wapelekwe akademia,Wewe kichwa maji kweli yaani mtoto kuongea kiingereza ana akili sana ? Mbona madogo wengi wanaongea kiswahili.
kwani we humuoni le mutuz...le baharia.....Malecela....
Wewe kichwa maji kweli yaani mtoto kuongea kiingereza ana akili sana ? Mbona madogo wengi wanaongea kiswahili.
Punguza povu mkuu anayeuliza ni kama hajui, kama nawewe ni mmoja wawenye tatizo labda uko huko lakini maimuna subiri wenye vichwa vyao watusaidie kilaza mwenzangu. Mimi nimesoma mpaka Master degree lakini bado broken wewe sijui ndo umeishi huko miaka 20 ndo kama mimi, nimesisitiza msaada ili isijeonekana kinyume kama unavyoona wewe. Napenda nipewe majibu chanya. Narudia tena jamani ni mji au nchi gani huko ulaya nitaondoa haya ma-broken language yangu pasipo kuenda darasani? Period
ila wazungu wana akili sana.
Unaweza kuta mtoto ana miaka miwili au mitatu,
hajaenda hata shule,
ila chokoza kingleza balaa!
Aongea ka maji!
ila wazungu wana akili sana.
Unaweza kuta mtoto ana miaka miwili au mitatu,
hajaenda hata shule,
ila chokoza kingleza balaa!
Aongea ka maji!
Sasa utajuaje Kiingereza ilhali hata kiswahili chakupa tabu..MAIMUNA maana yake ni nini? Ni MAIMUNA au MAAMUMA.!!?
Anayekwenda Uingereza ili imsaidie ajue kiingereza nae ni bure tu, kila kitu kinawezekana tu ukitilia mkazo..sisi wengine tumeishi hapa hapa TZ lakini kiingereza tukiongea kinaeleweka based on grammar and syntax. Kuna namna mbili ya kufahamu lugha ya kigeni
1. Ishi katika mazingira yao ukijifunza hyo lugha.
2. Soma sana vitabu vyenye lugha hiyo..kwa lugha nyingine inabdi uwe na muongozo wenye lgha yako.
Nilichojifunza mm ni kuwa sisi ni wavivu sana kwenye kusoma vitabu iwe kiswahili au kiingereza.