Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,403
- 40,320
Mahusiano yanatakiwa yawe na furaha na matumaini. Sasa unakuta watu wako kwenye mahusiano yasiyokuwa na furaha au matumaini ya kufikia hatua fulani, unakuta kunakuwa na upenzi au uchumba sugu uliodumu zaidi ya miaka 4 hakuna ndoa wala dalili ya kufikia ndoa.
Pia, kuna ndoa zingine migongano mara kwa mara, kama walilazimishwa kuoana. Unakuta huyu anachepuka Kaskazini mwingine anachepuka Kusini. Ukiona hizo dalili, jua huo ni uhusiano wenye taswira ya kizee.
Pia, kuna ndoa zingine migongano mara kwa mara, kama walilazimishwa kuoana. Unakuta huyu anachepuka Kaskazini mwingine anachepuka Kusini. Ukiona hizo dalili, jua huo ni uhusiano wenye taswira ya kizee.