Uhusiano uliopo kati ya Single Mothers na watoto wa kiume kuwa mashoga au mapunga!!

Baba ananafasi kubwa sana kwenye malezi pia kuna vle baba anaongea na mwanae mama hawez japo kuna watoto wanakua vzur bla baba bt kuna kitu wanakua wamemiss
 
Sijui umefanyia wapi research yako aise nimejaribu kuorodhesha watoto wa kiume waliolelewa na mama nimekosa hata wakumuhisi
 
Aisee hawa matusi yako
Ni balaa, subiri walio lelewa na mama pekee waje wakujibu
Ila kwangu mimi sidhani kama yana ukweli.
 
Kama utafiti wako ni kweli, basi unakinzana na malezi ya watoto wa kiume katika familia (mazingira) ambapo mama pekee ndiye anayemkuza kijana wake, katika nchi za mabara ya Ulaya na Marekani, ambapo asilimia kubwa huishia jela kwa wizi, mauaji na uuzaji wa madawa ya kulevya. Wengi huzaa na wasichana/ wanawake mbalimbali wote wakiwa katika umri mdogo. Kiujumla ni kuwa, wanakosa mtu mkali wavkongoza maisha yao ya kila siku. Sasa kwa Tz kulingana na utafiti wako sijui inachangia vipi uhusiano wa jinsia moja.
 
utafiti wa hovyo kabisa bora ungesema watoto wa mboga saba,kuna watoto wamelelwa single mother mother na wamekua mfano na wenye maadili makubwa,muombe sana Mungu unapokuwa na watoto akusaidie wakue kwenye mikono salama
 
ndugu yangu shukuru kwa kuwa na wazazi wote, wengine wanalelewa na mama zao tu kutokana na sababu mbalimbali....mfano kifo cha baba angali wapo wadogo, kutengana kwa wazazi angali wapo wadogo ama mama kuachiwa familia na baba akahamia mtaa wa 3.
 
Wakuu kama inavyojieleza hapo juu, kutokana na ongezeka kubwa la mapunga huku mitaani nikaamuaa kufanya ka research kidogo na nilichogundua ni kwamba watoto wengi wa kiume ambao hulelewa na mama tu bila uwepo wa baba ndo huwa wanaangukia kwenye hii dhambi ya ushoga.

Unadhani kwanini?
Mkuu, kwa mfano baba yako angefariki dunia ukiwa bado mdogo ungekuwa shoga kwa hiyo!!? Ebu acha kauli kama hizo. Pia kaa ujue wenzio waliolelewa na mama pekee hawakupenda wala hawakuchagua iwe hivyo wamejikuta tu. Na huo utafiti wako hauna ukweli wowote
 
Hakuna uhusihano wowote kati ya kulelewa na Mama na ushoga.

Kuna watu wengi nawafahamu walilelewa na Mama pekee na siyo mashoga.

Kuna watu walilelewa na wazazi wote lakini ni mashoga maarufu mitaani.

Halafu kabla ya kusema umefanya utafiti hakikisha unafahamu maana ya utafiti.
 
Hasa hasa, familia iwe na watoto wengi wa kike.kaka yao yuko hatarini sana kutoa hydrolic nozel
 
pumba tupu...ndio tatizo la Ajira kucheleweshwa..vijana wameanza kuja na umbea wa vijiwe vya kahawa..
 
Very simple answer 'coz wamelelewa na mama pekee'?.
Lakin rudia utafiti coz umepita kombo jombi
 
Tubu kwa mungu ulichokisema sio sahihi hata kidogo huwezi pitia msoto ukawaza ujinga
 
Ningekuwa Moderator ningekutandika ban mpaka 2020
Ngoja nikusaidie ulichokaa na ukakiwaza usidanganye watu hapa eti umefanya utafiti..

  • Umewaza aina ya maisha ya mama muda wote ni kudekeza mtoto..(lelemama)
  • Ukawaza mtoto kukopi tabia za mama zaidi.
Hivi ndio vimekufanya uje na mjumuisho uliouita tafiti kijana wangu.. Na kama ungefanya tafiti ungegundua ni kiasi gani hao watu wenye malezi ya mama pekee walivyo ngunguri Tanzania na duniani kwa ujumla!
 
Back
Top Bottom