Uhusiano na mwanamke "classy"

Zinavunjika kila cku. Hata sasa hivi kuna ndoa ya mtu inavunjika. Msiwaone watu kwa nje wana raha. Humo ndani kwao ni jehanam. Furaha inapatukana popote pale, inategemea tu ya kwako ipo wapi

Safi sana! Kama vile yangu Mimi ipo kuleeee! Ahsante
 

Wanaume wengi wanawaogopa kwa sababu hawataweza kuwaendesha, na wengine wanawaogopa wanahisi hawatawakubali hivyo kujiridhisha kisaikolojia huishia kuwaponda ila actually wanawatamani wawapate.
Ni sawa na wanaume ambao wakiachwa wanaanza ooh yule malaya tu au sijui mbaya. Hicho ndo chanzo cha wanawake hao kusemwa vibaya, kutojiamini.
 
Katika imani ya dini ya kiislam,mwanamke wa kuoa anatakiwa kuwa na sifa zifutazo
1.Awe muumini safi wa di
2.Atoke ktk familia yenye hofu ya mungu
3.Nasaba yao isiwe na magonjwa ya kurithi km ukoma,kisukari etc
4.Awe anatoka ktk familia yenye nafasi kiuchumi
5.Awe bikra km inawezekana
Kwa sifa hizo na nyinginezo km tabia njema mwanamke huyo anastahili kuolewa,mambo hayo mengine km hao wanaojiita classy ni kuiga mila na tamaduni za kigeni,hizo c ktk tamaduni zetu,vipo vya kuiga km vzr lkn si kila kitu
Lkn pia ndoa ni heshima na ina thamani kubwa sana kwa mungu japo sisi binadamu hasa kizazi chetu wengi tunaichukulia poa tena pande zote mbili yaani ke na me,hatutaki kwa makusudi kutimiza wajibu wetu ipasavyo,matokeo yake ni migogoro na watu wengine kuishia kukata tamaa jambo ambalo c sahihi
 
Ukiona mtu anadai ndoa sio kipaumbele chake tizama iman yake
 

Binafsi namfahamu Modesta Lilian Mahiga kiasi Fulani, nimefanya nae kazi kwa muda. Ni Mrs. wa mtu na sidhani kama ana fit kwa sifa hizo
 
The only thing makes the so called classy to suffer the consequence of their life advancement is men inferiority! Unakuta mwanaume kapendwa toka moyoni ila kwa kuwa ako na insecurities kadha wa kadha zinazotokana na interaction baina ya classy na watu anaofanya nao kazi hasa wanaume...hvyo classy wanaeza olewa na mijanaume yenye kujiamini sana. Pia hao classy smtimes wako na tabia mbaya kujiinua kiasi hawawezi kuwa humble hvyo kupelekea wale wanaojitosa kuwa nao kushindwa as men lyk humble women!
Generally classy dadaz wanalack humility...ukijumlisha na men inferioty complex basi wanabaki single.
 
Mwanamke 'classy' ndio yukoje?
Mwanamke classy ni ambaye
-Anajiheshimu na kuheshimu wengine.
-Responsible for her actions and herself (anajitunza, anajipenda etc)
-Independent (uwepo usiwepo maisha kwake yanaenda tu)
-Smart ( unaweza ukaongea nae maswala ya siasa, technology, michezo, uchumi na mkaelewana because she tries to keep herself updated with current affairs.
-Confident (Anajitambua, hana wivu wa kitoto..)
-Ana lugha ya ukarimu/upole (hamna kelele na matusi kila saa)
-Fun and funny (huwezi kuboreka ukiwa naye)
-Mature (anajua kuhandle situations kama mtu mzima sio kulialia tu)
 

Asante sana Chielf.
 

Kwa hiyo wanawake wenye sifa hizo ndiyo hawaolewi?
 

Unaposema Femism unamaanisha yale mambo ya haki sawa??? Kama Mama anapika basi baba akafue nguo?? Ndio unachomaanisha???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…