Uhusiano kati ya uwaziri mkuu na ubunge

Uhusiano kati ya uwaziri mkuu na ubunge

Daraja2

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
285
Reaction score
346
Baada ya ukomo wengi wao hawakugombea tena, ukiona aliendelea na ubunge "alitenguliwa" kabla ya uchaguzi mkuu.

Kwa sababu kuwa na "mafao" yanayojitosheleza yasiende Bure atateuliwa kuwa "mkuu wa chuo"

Hiki sio kipindi kile cha "manual" cha Msuya & Malecela sheria nyingi zimebadilishwa.

Alamsiki.
 
Baada ya ukomo wengi wao hawakugombea tena, ukiona aliendelea na ubunge "alitenguliwa" kabla ya uchaguzi mkuu.

Kwa sababu kuwa na "mafao" yanayojitosheleza yasiende Bure atateuliwa kuwa "mkuu wa chuo"

Hiki sio kipindi kile cha "manual" cha msuya & malecela sheria nyingi zimebadilishwa.

Alamsiki.
Sasa huyu wa Kongwa kakomaa na ubunge, wakati alikuwa speaker,akainajisi Katiba kwa kuruhusu COVID-19 kuwepo Bungeni!,Sasa Bado kakomaa ngoja aaibishwe na vijana!
 
Back
Top Bottom