Uhusiano kati ya uislamu na ugaidi,..msaada

Uhusiano kati ya uislamu na ugaidi,..msaada

Status
Not open for further replies.
makafiri mila yao moja tu.....Wapi pametajwa kua uislam ni ugaidi? umemezeshwa propaganda

Kwamba wewe ni kiziwi au kipofu kusema kwamba huoni wala kusikia ya Nigeria??
 
Dada yangu jibu la swali lako utalipata Nigeria..
 
.mapokeo ya dini kwa wakati ule zamaani name propaganda zake ndio hasa matokeo yake yanaonekana nyakati hizi ...
 
vikundi vingi vya kigaidi ni vya kiislamu ka ma alshababy, alqueida, boko haram,janja widi na vingnevyo..kwa nini


Kama umeuliza kwa nia ya kufaham basi tambua kuwa hapana uhusiano wowote baina ya ugaidi na uislama.kwanza wapashwa ufaham maana ya ugaidi.tafuta kamusi ya kiswahili,ama pitia English Oxford dictionary for advanced learners of any edition then tazama neno terrorism,Fundamentalism ama Extremism alafu uje uulize tena hapa.Waonekana ni mvivu wa kufikiri na hodari wa kukariri.
Tafadhari ukishapitia ulete mrejesho hapa.
 
Kwamba wewe ni kiziwi au kipofu kusema kwamba huoni wala kusikia ya Nigeria??

Mambo unayoyaona Nigeria kaa ukijua ni mchezo mchafu unachezwa na serikali ya Nigeria,Zile zote ni propaganda tu za kuuchafua uislam pia wanamambo yao nyuma ya pazia..pili uislam hauruhusu kufanya vile kama hao mnaodai bokoharam mara kuchoma manyumba,mara kuuwa watu ovyo that's not islam...Uislam ni dini ya amani na imekuja kuleta amani hapa duniani kaa ukijua hilo.....ule unaouna sio uhalisia.
 
.mapokeo ya dini kwa wakati ule zamaani name propaganda zake ndio hasa matokeo yake yanaonekana nyakati hizi ...

Propaganda zipi we ustaz?? kule naijeria boko haram wanawakilisha imani gani? wanatumia kitabu kipi kuhalalisha ugaidi wao??
 
Umesha ona gaidi anasoma Biblia? Hakika Kitaab cha Mnyaazi Mungu ndicho wanacho tumia



Quran (2:244) - "Then fight in the cause of Allah, and know that Allah Heareth and knoweth all things."

Quran (2:216) - "Fighting is prescribed for you, and ye dislike it. But it is possible that ye dislike a thing which is good for you, and that ye love a thing which is bad for you. But Allah knoweth, and ye know not." Not only does this verse establish that violence can be virtuous, but it also contradicts the myth that fighting is intended only in self-defense, since the audience was obviously not under attack at the time. From the Hadith, we know that this verse was narrated at a time that Muhammad was actually trying to motivate his people into raiding merchant caravans for loot.

Quran (3:56) - "As to those who reject faith, I will punish them with terrible agony in this world and in the Hereafter, nor will they have anyone to help."

Quran (3:151) - "Soon shall We cast terror into the hearts of the Unbelievers, for that they joined companions with Allah, for which He had sent no authority". This speaks directly of polytheists, yet it also includes Christians, since they believe in the Trinity (ie. what Muhammad incorrectly believed to be 'joining companions to Allah').

Quran (4:74) - "Let those fight in the way of Allah who sell the life of this world for the other. Whoso fighteth in the way of Allah, be he slain or be he victorious, on him We shall bestow a vast reward." The martyrs of Islam are unlike the early Christians, led meekly to the slaughter. These Muslims are killed in battle, as they attempt to inflict death and destruction for the cause of Allah. Here is the theological basis for today's suicide bombers.

Quran (4:76) - "Those who believe fight in the cause of Allah…"
Hizo aya kweli zinahamasisha vita na kuua, Nakumbuka mzee ruksa alisema kila aya waliteremshiwa (kufuatana na imani yao) kwenye mazingara fulani yaliyohitaji kujihami. Hivi leo magaidi wanatumia aya hizo kuendeleza maslahi ya kibiashara na kisiasa. Wanauana waislaam kwa waislaam kwa maelfu afghanistan, Iraq, Pakistan Somalia, Syria na kwingine.
 
makafiri mila yao moja tu.....Wapi pametajwa kua uislam ni ugaidi? umemezeshwa propaganda

Al shaabab wakati wanaingia westgate walitenganisha waislamu na wasio waislamu...waislamu wakaachiwa waondoke wasio waislam wakapigwa risasi mpk kuweka watoto kwenye friji kwa maelezo ya kitabu kitukufu...hizo bado ni propaganda?
 
Gaidi ni mtu mshenzi sana anatumia mwamvuli wa uislam.
 
Kaka jambawazi we ushawahi kufirwa utotoni?
 
Gaidi ni mtu mshenzi sana anatumia mwamvuli wa uislam.

ulishawahi kuona tamko la kiongozi wa kiislamu akikemea magaidi kutumia jina la uislamu?? ila shangaa utaona matamko mpk maandamano kulaani wazungu kuua magaidi wakisema wanauangamiza uislamu...inabidi uwe gombesugu kutoliona ilo
 
Last edited by a moderator:
nyie mmeitwa makafiri kwenye Kitabu chetu, wapi kwenye bible sisi tumeitwa magaidi?

wanaowaita magaidi sio wakiristo..mafundisho ya kikiristo ayaruhusu kuitana majina mabaya..wanaowaita magaidi ni ulimwwngu wote uliowachoka na tabia zenu mbovu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom