Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Babu ukabaila umeanza lini??????
ulikuwa ujui kuAPPROVE/ kuwasachi wajukuu yeye
Babu ukabaila umeanza lini??????
Dah!!! Babu unataka leo nione Azam Cola chungu wakati hata sio pombeKimaslahi zaidi, Ubabu na uheshimiwe na watu wote
Chukua binamu tupa kule, Kamata draiva weka hapa..............vrrrruuuuuuum mpaka kwa mromboo, chukua nyama tupa kule, kamata maini weka hapa............ vrrrruuuuuuuuuuum chukua Shivaz tupa kule, kamata Picnic Weka hapa, kamata valuu tupa kule, chukua Taska Malti weka hapa.................. Vruuuuuuuuuuuum chukua jirani peleka kule, kamata Binamu tembea kule!udereva APPROVED
Dah!!! Inabidi ku-hand ova majukumu maana hii imezidi kipimo atatufanya tuwe tunamvizia mtaaniulikuwa ujui kuAPPROVE/ kuwasachi wajukuu yeye
Chukua binamu tupa kule, Kamata draiva weka hapa..............vrrrruuuuuuum mpaka kwa mromboo, chukua nyama tupa kule, kamata maini weka hapa............ vrrrruuuuuuuuuuum chukua Shivaz tupa kule, kamata Picnic Weka hapa, kamata valuu tupa kule, chukua Taska Malti weka hapa.................. Vruuuuuuuuuuuum chukua jirani peleka kule, kamata Binamu tembea kule!
COME ON!
Hahahahahah............ chukua ODM tupa kule, kamata jirani weka hapa...........vruuuuuuum!hahahahahah..........vrrrrrrruuuuuuuuuuu chukua dereva tupa kule chukua binamu weka hapa
Dah!!! Inabidi ku-hand ova majukumu maana hii imezidi kipimo atatufanya tuwe tunamvizia mtaani
Chukua JF Dar Headquarters weka hapa chukua JF Arusha wing weka kuleHahahahahah............ chukua ODM tupa kule, kamata jirani weka hapa...........vruuuuuuum!
Kwahiyo yeye anajifanya Mugabe siouliwahi sikia wapi wazee wanagawa madaraka mpaka azimie kwenye tukio kama sio kufa
Hahahahahah............ chukua ODM tupa kule, kamata jirani weka hapa...........vruuuuuuum!
Kwahiyo yeye anajifanya Mugabe sio
Hahaha!!!!daaahh..................chukua chumba Y tupa kule............. vruuuuuuuuuuuuu chukua chumba Z weka hapa............
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa hahahahahaha...................hehehehehe hahahahaha!daaahh..................chukua chumba Y tupa kule............. vruuuuuuuuuuuuu chukua chumba Z weka hapa............
Babu unasukuma kule unakamata kijana weka hapompaka wapinduliwe tena kwa mtutu
mpaka wapinduliwe tena kwa mtutu
(Duh!!! Tumechakachuchua lol )Hahahahahaaaaaaaaaaaaaa hahahahahaha...................hehehehehe hahahahaha!
Kamata Kijenge gesht haush tupa kule............ kamata biya Picnic weka hapa...........!daaahh..................chukua chumba Y tupa kule............. vruuuuuuuuuuuuu chukua chumba Z weka hapa............
Hahahahahaha (Uhusiano haueleweki huu bana, khaaa!)(Duh!!! Tumechakachuchua lol )