Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Last edited by a moderator:
Gotdayuuum!! That lady at the beginning gave me goose bumps. Very articulate and very passionate. That's what's upper. Who is she, by the way? Anybody know?
Nije kwenye hii miaka 50 ya uhuru. Unajua mimi hakuna kitu kinachonichefua kama mavumbi ambayo hugeuka kuwa tope pindi mvua zinyeshapo. Kuna siku moja bana mi nimetoka zangu Samaki Samaki, pale Mlimani city. Siku hiyo sikuwa na usafiri wangu mwenyewe kwa hiyo nikaomba lifti ya rafiki mmoja.
Naye bila ya choyo akanipa lifti hadi karibu na kwetu. Nikashuka nikaanza kuelekea nyumbani. Sasa usiku huo umeme ulikuwa umekatika. Si mnajua mambo ya mgao tena. Na mvua ilikuwa imenyesha jana au sijui juzi yake ile. Sikumbuki vizuri lakini njiani madimbwi yalikuwa bado na maji kibao yaliyotuama.
Sasa mtu mzima nimetinga Nike AIRMAX 2011 zangu nyeupe pyee (halafu za bei mbaya sasa). Njiani kwa sababu ya giza sikuweza kuona vizuri nilipokuwa nakanyaga. Si nikajistukia mguu mmoja unazama kwenye dimbwi....daaaah. Aisee nilimaindi....yaani AIRMAX zangu hizi bado mpya, yaani ndo zimetoka tu halafu zinachafuka na mitope? Haikubaliki hii. Hapana kabisa.
Njia nzima kurudi nyumbani nilimtukana kila kiongozi wa CCM niliyeweza kumkumbuka jina. Niliilaani sana hii mijitu. Yaani miaka yote hii 50 hata barabara nzuri tumeshindwa kujenga. Hivi kwani kujenga barabara nzuri zisizo na mavumbi wala matope zinyeshapo mvua zina ugumu gani kutengeneza?
Haya majitu yameniharibia NIKE AIRMAX 2011 zangu. Nimemaindi hivyo mjue.....
The lady can serve better as a speaker of the national assembly, anaongea kama mtanzania halisi mwenye uchungu wa nchi sio kama wauza sura wengine.
Mtangazaji wa kiume Deo Rweyunga ni bure kabisa anauchungu sana na serikali kuambiwa ukweli kuhusu yanayosemwa kuliko ukweli kuwa uhuru wa nchi umebinafsishwa.
Rweyunga anawasihi watu waache Jazba, he is not informed at all, ukweli ni kuwai jazba inakuja shauri ya njaa na matatizo, mtu asiye na shida hana jazba kabisa. Jazba inaisha pale matatizo yanapokwisha
Gotdayuuum!! That lady at the beginning gave me goose bumps. Very articulate and very passionate. That's what's upper. Who is she, by the way? Anybody know?
Nije kwenye hii miaka 50 ya uhuru. Unajua mimi hakuna kitu kinachonichefua kama mavumbi ambayo hugeuka kuwa tope pindi mvua zinyeshapo. Kuna siku moja bana mi nimetoka zangu Samaki Samaki, pale Mlimani city. Siku hiyo sikuwa na usafiri wangu mwenyewe kwa hiyo nikaomba lifti ya rafiki mmoja.
Naye bila ya choyo akanipa lifti hadi karibu na kwetu. Nikashuka nikaanza kuelekea nyumbani. Sasa usiku huo umeme ulikuwa umekatika. Si mnajua mambo ya mgao tena. Na mvua ilikuwa imenyesha jana au sijui juzi yake ile. Sikumbuki vizuri lakini njiani madimbwi yalikuwa bado na maji kibao yaliyotuama.
Sasa mtu mzima nimetinga Nike AIRMAX 2011 zangu nyeupe pyee (halafu za bei mbaya sasa). Njiani kwa sababu ya giza sikuweza kuona vizuri nilipokuwa nakanyaga. Si nikajistukia mguu mmoja unazama kwenye dimbwi....daaaah. Aisee nilimaindi....yaani AIRMAX zangu hizi bado mpya, yaani ndo zimetoka tu halafu zinachafuka na mitope? Haikubaliki hii. Hapana kabisa.
Njia nzima kurudi nyumbani nilimtukana kila kiongozi wa CCM niliyeweza kumkumbuka jina. Niliilaani sana hii mijitu. Yaani miaka yote hii 50 hata barabara nzuri tumeshindwa kujenga. Hivi kwani kujenga barabara nzuri zisizo na mavumbi wala matope zinyeshapo mvua zina ugumu gani kutengeneza?
Haya majitu yameniharibia NIKE AIRMAX 2011 zangu. Nimemaindi hivyo mjue.....
Jamani naomba mnisaidie huyo dada aliyeongea mwanzo ni nani angalau nimtumie text msg ya kumpongeza maana kaongea kwa uchungu hadi unaona kabisa maneno yanatoka moyoni.
Leo Je tatizo sio Ngeleja tena?
Tatizo miaka yote imekuwa ni Ngeleja. Jamaa ni mtu mbaya sana. Anasababishaga mvua ziache kunyesha halafu anaenda kufyonza maji kwenye hayo mabwawa ya kuzalisha umeme ili wengine tupate shida. Karaha zetu kwake raha. Wajanja wa mjini siku hizi wanasema raha jipe mwenyewe bana. Naye kweli anajipa raha.
Halafu kaanza huu mchezo wake mchafu tokea wakati wa Mwinyi. Sijui atakoma lini huyu mtu. Mbaya sana huyu. Niunge mkono katika kumlaani.
Ndugu yangu Mwanakijiji hata uhuru wa mawazo umebinafsishwa! Na huko bungeni mbunge akiongea tofauti na 'maelekezo ya ubinafsishaji' huo basi anaambiwa kakiuka kanuni na kutolewa nje. Wengine wanasema 'unatoka kauli za uchochezi'
Kwa maneno mengine watanzania wengi hawana uwezo (according to wabinafsisha) hata kufikiri let alone kuhoji! oh... nimesahu kauli mbiu ya 50 yrs of independence: "Tumethubutu, tumeweza, tunasonga mbele".
Incredible!