Uhuru "Uliobinafsishwa" ndio tunaojiandaa kuusherehekea?

Ndugu yangu Mwanakijiji hata uhuru wa mawazo umebinafsishwa! Na huko bungeni mbunge akiongea tofauti na 'maelekezo ya ubinafsishaji' huo basi anaambiwa kakiuka kanuni na kutolewa nje. Wengine wanasema 'unatoka kauli za uchochezi'

Kwa maneno mengine watanzania wengi hawana uwezo (according to wabinafsisha) hata kufikiri let alone kuhoji! oh... nimesahu kauli mbiu ya 50 yrs of independence: "Tumethubutu, tumeweza, tunasonga mbele".

Incredible!
 
Gotdayuuum!! That lady at the beginning gave me goose bumps. Very articulate and very passionate. That's what's upper. Who is she, by the way? Anybody know?

Nije kwenye hii miaka 50 ya uhuru. Unajua mimi hakuna kitu kinachonichefua kama mavumbi ambayo hugeuka kuwa tope pindi mvua zinyeshapo. Kuna siku moja bana mi nimetoka zangu Samaki Samaki, pale Mlimani city. Siku hiyo sikuwa na usafiri wangu mwenyewe kwa hiyo nikaomba lifti ya rafiki mmoja.

Naye bila ya choyo akanipa lifti hadi karibu na kwetu. Nikashuka nikaanza kuelekea nyumbani. Sasa usiku huo umeme ulikuwa umekatika. Si mnajua mambo ya mgao tena. Na mvua ilikuwa imenyesha jana au sijui juzi yake ile. Sikumbuki vizuri lakini njiani madimbwi yalikuwa bado na maji kibao yaliyotuama.

Sasa mtu mzima nimetinga Nike AIRMAX 2011 zangu nyeupe pyee (halafu za bei mbaya sasa). Njiani kwa sababu ya giza sikuweza kuona vizuri nilipokuwa nakanyaga. Si nikajistukia mguu mmoja unazama kwenye dimbwi....daaaah. Aisee nilimaindi....yaani AIRMAX zangu hizi bado mpya, yaani ndo zimetoka tu halafu zinachafuka na mitope? Haikubaliki hii. Hapana kabisa.

Njia nzima kurudi nyumbani nilimtukana kila kiongozi wa CCM niliyeweza kumkumbuka jina. Niliilaani sana hii mijitu. Yaani miaka yote hii 50 hata barabara nzuri tumeshindwa kujenga. Hivi kwani kujenga barabara nzuri zisizo na mavumbi wala matope zinyeshapo mvua zina ugumu gani kutengeneza?

Haya majitu yameniharibia NIKE AIRMAX 2011 zangu. Nimemaindi hivyo mjue.....
 
Gotdayuuum!! That lady at the beginning gave me goose bumps. Very articulate and very passionate. That's what's upper. Who is she, by the way? Anybody know?

Nije kwenye hii miaka 50 ya uhuru. Unajua mimi hakuna kitu kinachonichefua kama mavumbi ambayo hugeuka kuwa tope pindi mvua zinyeshapo. Kuna siku moja bana mi nimetoka zangu Samaki Samaki, pale Mlimani city. Siku hiyo sikuwa na usafiri wangu mwenyewe kwa hiyo nikaomba lifti ya rafiki mmoja.

Naye bila ya choyo akanipa lifti hadi karibu na kwetu. Nikashuka nikaanza kuelekea nyumbani. Sasa usiku huo umeme ulikuwa umekatika. Si mnajua mambo ya mgao tena. Na mvua ilikuwa imenyesha jana au sijui juzi yake ile. Sikumbuki vizuri lakini njiani madimbwi yalikuwa bado na maji kibao yaliyotuama.

Sasa mtu mzima nimetinga Nike AIRMAX 2011 zangu nyeupe pyee (halafu za bei mbaya sasa). Njiani kwa sababu ya giza sikuweza kuona vizuri nilipokuwa nakanyaga. Si nikajistukia mguu mmoja unazama kwenye dimbwi....daaaah. Aisee nilimaindi....yaani AIRMAX zangu hizi bado mpya, yaani ndo zimetoka tu halafu zinachafuka na mitope? Haikubaliki hii. Hapana kabisa.

Njia nzima kurudi nyumbani nilimtukana kila kiongozi wa CCM niliyeweza kumkumbuka jina. Niliilaani sana hii mijitu. Yaani miaka yote hii 50 hata barabara nzuri tumeshindwa kujenga. Hivi kwani kujenga barabara nzuri zisizo na mavumbi wala matope zinyeshapo mvua zina ugumu gani kutengeneza?

Haya majitu yameniharibia NIKE AIRMAX 2011 zangu. Nimemaindi hivyo mjue.....

Jibu utaambiwa hakuna hela, lakini I have seen streets zenye barabara za matofali au concrete!!!! Hivi hataa hii inatushinda?
 
Ni ukweli usiopingika kwamba watanzania hatujawahi kuwa huru katika nchi yetu miaka yote ya uhuru. Uhuru kamili ni pale tunapoweza kumtoa raisi madarakani kwa njia ya kura. Sasa wapi tuliwahi kuwa huru na kuja bibafishisha uhuru. Lazima ikumbukwe kuwa Tanzania katika miaka 30 baada ya uhuru ilitilia maanai sana kujenga Taifa lenye nguvu za kisiasa kuliko yote africa. Matawi ya chama mpaka vijijini! Matawi ya chama mahala pa kazi!! Huwezi kwenda chuo chochote mpaka uwe na kadi ya chama! Mimi kinachoniuma sana ni kule kupuuza kujenga maktaba za taifa ngazi za wilaya! Wabunge wapo lakini hawajui umuhimu wa maktaba. Si dhani hata wenyewe kama wana utamaduni wa kuweka book shelves sebuleni. Sasa hivi ilitupasa kuweka maktaba ngazi za vijiji.
 


Machungu haya aidha tuyamalizie kwenye maandamano au kwenye box la kura 2015 na tuzilinde kura zetu na zitangazwe ndani ya muda!! Pia kuachana na sherehe hizo za uhuru bandia au wa kifamilia na ushikaji!!
 
Last edited by a moderator:
The lady can serve better as a speaker of the national assembly, anaongea kama mtanzania halisi mwenye uchungu wa nchi sio kama wauza sura wengine.

Mtangazaji wa kiume Deo Rweyunga ni bure kabisa anauchungu sana na serikali kuambiwa ukweli kuhusu yanayosemwa kuliko ukweli kuwa uhuru wa nchi umebinafsishwa.

Rweyunga anawasihi watu waache Jazba, he is not informed at all, ukweli ni kuwai jazba inakuja shauri ya njaa na matatizo, mtu asiye na shida hana jazba kabisa. Jazba inaisha pale matatizo yanapokwisha
 
The lady can serve better as a speaker of the national assembly, anaongea kama mtanzania halisi mwenye uchungu wa nchi sio kama wauza sura wengine.

Mtangazaji wa kiume Deo Rweyunga ni bure kabisa anauchungu sana na serikali kuambiwa ukweli kuhusu yanayosemwa kuliko ukweli kuwa uhuru wa nchi umebinafsishwa.

Rweyunga anawasihi watu waache Jazba, he is not informed at all, ukweli ni kuwai jazba inakuja shauri ya njaa na matatizo, mtu asiye na shida hana jazba kabisa. Jazba inaisha pale matatizo yanapokwisha

Rweyunga ni kibaraka tu, kwani JK alipopata tu Urais si aliambatana naye USA!
 

DAR ES SALAAM, Tanzania, March 11- Tanzania and the International Monetary Fund failed to reach agreement on a standby credit from the I.M.F. to help Tanzania pay its debts, Edwin Mtei, a director of the fund, said today-New York Times,March 12,1985.
 
Jamani naomba mnisaidie huyo dada aliyeongea mwanzo ni nani angalau nimtumie text msg ya kumpongeza maana kaongea kwa uchungu hadi unaona kabisa maneno yanatoka moyoni.
 
Huyo daad ni mpambanaji halisi, mara zote akiongea anaongea ukweli halisi. Mimi nadhani watuwa kuanza nao ni hawa wabunge maamuma wa CCM hawa ndio wanaotuangusha kwa kiasi kikubwa sana. wanalala tu bungeni, wanapitisha hoja zisizo na tija kwa taifa hili! ukisema ukweli wewe ni mchochezi yaani mpaka inatia kinyaa. Katiba mpya nayo itamaliza huu upuuzi kama aliokuwa anausema jana LUKUVI, eti uchochezi, over my a...., mxiiiii kwa vile anakula na kuiba kodi zetu basi wasisemwe!!! Big Up sana DADA yetu
 
Gotdayuuum!! That lady at the beginning gave me goose bumps. Very articulate and very passionate. That's what's upper. Who is she, by the way? Anybody know?

Nije kwenye hii miaka 50 ya uhuru. Unajua mimi hakuna kitu kinachonichefua kama mavumbi ambayo hugeuka kuwa tope pindi mvua zinyeshapo. Kuna siku moja bana mi nimetoka zangu Samaki Samaki, pale Mlimani city. Siku hiyo sikuwa na usafiri wangu mwenyewe kwa hiyo nikaomba lifti ya rafiki mmoja.

Naye bila ya choyo akanipa lifti hadi karibu na kwetu. Nikashuka nikaanza kuelekea nyumbani. Sasa usiku huo umeme ulikuwa umekatika. Si mnajua mambo ya mgao tena. Na mvua ilikuwa imenyesha jana au sijui juzi yake ile. Sikumbuki vizuri lakini njiani madimbwi yalikuwa bado na maji kibao yaliyotuama.

Sasa mtu mzima nimetinga Nike AIRMAX 2011 zangu nyeupe pyee (halafu za bei mbaya sasa). Njiani kwa sababu ya giza sikuweza kuona vizuri nilipokuwa nakanyaga. Si nikajistukia mguu mmoja unazama kwenye dimbwi....daaaah. Aisee nilimaindi....yaani AIRMAX zangu hizi bado mpya, yaani ndo zimetoka tu halafu zinachafuka na mitope? Haikubaliki hii. Hapana kabisa.

Njia nzima kurudi nyumbani nilimtukana kila kiongozi wa CCM niliyeweza kumkumbuka jina. Niliilaani sana hii mijitu. Yaani miaka yote hii 50 hata barabara nzuri tumeshindwa kujenga. Hivi kwani kujenga barabara nzuri zisizo na mavumbi wala matope zinyeshapo mvua zina ugumu gani kutengeneza?

Haya majitu yameniharibia NIKE AIRMAX 2011 zangu. Nimemaindi hivyo mjue.....

Leo Je tatizo sio Ngeleja tena?
 
Jamani naomba mnisaidie huyo dada aliyeongea mwanzo ni nani angalau nimtumie text msg ya kumpongeza maana kaongea kwa uchungu hadi unaona kabisa maneno yanatoka moyoni.

Ingawa Mwenyekiti na na zome zomea toka upande wa CCM walijitahidi kumvuruga lakini alitoa message clear kwenda kwao, mie niliipenda zaidi kwani kila alipokatishwa na kuruhusiwa kuendelea daima hakuonyesha kutetereka....anaitwa Mheshimiwa Chiku Abwao (Mbunge wa viti maalum CDM)

Ila naye Mheshimiwa Lusinde (Kibajaji) naona akapimwe akili kwani aliomba mwongozo eti wabunge wawe wanapimwa akili kwanza kabla ya kuanza bunge kwani maneno ya huyo mama yalimwingia baarabaaraa
 
Leo Je tatizo sio Ngeleja tena?

Tatizo miaka yote imekuwa ni Ngeleja. Jamaa ni mtu mbaya sana. Anasababishaga mvua ziache kunyesha halafu anaenda kufyonza maji kwenye hayo mabwawa ya kuzalisha umeme ili wengine tupate shida. Karaha zetu kwake raha. Wajanja wa mjini siku hizi wanasema raha jipe mwenyewe bana. Naye kweli anajipa raha.

Halafu kaanza huu mchezo wake mchafu tokea wakati wa Mwinyi. Sijui atakoma lini huyu mtu. Mbaya sana huyu. Niunge mkono katika kumlaani.
 
Tatizo miaka yote imekuwa ni Ngeleja. Jamaa ni mtu mbaya sana. Anasababishaga mvua ziache kunyesha halafu anaenda kufyonza maji kwenye hayo mabwawa ya kuzalisha umeme ili wengine tupate shida. Karaha zetu kwake raha. Wajanja wa mjini siku hizi wanasema raha jipe mwenyewe bana. Naye kweli anajipa raha.

Halafu kaanza huu mchezo wake mchafu tokea wakati wa Mwinyi. Sijui atakoma lini huyu mtu. Mbaya sana huyu. Niunge mkono katika kumlaani.

hapa umeniacha hoi kwa kicheko, kwa hiyo jamaa anatapisha mabwawa kama vile vyoo vya uswahilini loh!!!!!!!!,
 
Ndugu yangu Mwanakijiji hata uhuru wa mawazo umebinafsishwa! Na huko bungeni mbunge akiongea tofauti na 'maelekezo ya ubinafsishaji' huo basi anaambiwa kakiuka kanuni na kutolewa nje. Wengine wanasema 'unatoka kauli za uchochezi'

Kwa maneno mengine watanzania wengi hawana uwezo (according to wabinafsisha) hata kufikiri let alone kuhoji! oh... nimesahu kauli mbiu ya 50 yrs of independence: "Tumethubutu, tumeweza, tunasonga mbele".

Incredible!

Huyu ni MZEE MWANAKIJIJI ukisema MWANAKIJIJI unamaanisha MAGGID
 
Back
Top Bottom