Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,372
Wana nini? Saudia wana Monarchy iliyotoholewa kuendana na misingi ya kiislamu na Demokrasia, Rwanda ni nchi ya Kidemokrasia kamili inayofuata misingi yote inayounda Demokrasia. Ndio maana nilisema, Democracy sio one size fits all affair!Kwani Saudi Arabia na Rwanda wana demokrasia ?