Naye ataomba kura kwa magoti?Naskia uchanguzi huko kenya unakaribia
Kaka sio kwamba anacheza na muda?Huyu jamaa mimi nina mkubali, anajua namna ya kujichanganya, pia anajiamini, sio kama jirani yake, hofu na woga. Bahati yake ni polisi tu ndio wanamsaidia.
umenichekesha kinomaaNaye ataomba kura kwa magoti?
umenichekesha kinomaa
Aonekane ni mpenda watu yupo karibu naoo daah cjui lin tutafungukaa na kujitambua
Ulaghai wa wanasiasa wa africa acha tu, eti anajifanya anakula migahawani kuvuta hisia za wapiga kura
Uongozi africa rahisi sana, huku kwetu kipande cha khanga tu kura unapataAonekane ni mpenda watu yupo karibu naoo daah cjui lin tutafungukaa na kujitambua
HOFU tupu wakati tz kisiwa cha Amani. Tena wao ndiyo Wahubiri wa hyo Amani.Huyu jamaa mimi nina mkubali, anajua namna ya kujichanganya, pia anajiamini, sio kama jirani yake, hofu na woga. Bahati yake ni polisi tu ndio wanamsaidia.
Kwetu chumvi tu ya miaUongozi africa rahisi sana, huku kwetu kipande cha khanga tu kura unapata
Bila kusahau kofia lohUongozi africa rahisi sana, huku kwetu kipande cha khanga tu kura unapata