Aputwike
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 172
- 189

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amejinasibu kuachia madaraka kwa amani katika uchaguzi ujao endapo upinzani utashinda ili kuheshimu maamuzi ya wananchi.
Kenya ndio nchi pekee inayo heshimu misingi ya katiba, na demokrasia katika nchi za maziwa makuu, lakini zote zilizobaki zimekuwa vichaka vya maharamia wa ubakaji wa demokrasia, au madikteta, au manduli. Zipo tayari kuona watu wakipotea maadamu mkate wao upone.
Source: ITV