Uhuru Kenyatta ahaadi kuachia nchi endapo upinzani watashinda

Aputwike

Senior Member
Aug 9, 2016
172
189
87f8f24f9fbacc153a32c016fe55b099.jpg


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amejinasibu kuachia madaraka kwa amani katika uchaguzi ujao endapo upinzani utashinda ili kuheshimu maamuzi ya wananchi.

Kenya ndio nchi pekee inayo heshimu misingi ya katiba, na demokrasia katika nchi za maziwa makuu, lakini zote zilizobaki zimekuwa vichaka vya maharamia wa ubakaji wa demokrasia, au madikteta, au manduli. Zipo tayari kuona watu wakipotea maadamu mkate wao upone.

Source: ITV
 
87f8f24f9fbacc153a32c016fe55b099.jpg


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amejinasibu kuachia madaraka kwa amani katika uchaguzi ujao endapo upinzani utashinda ili kuheshimu maamuzi ya wananchi.

Kenya ndio nchi pekee inayo heshimu misingi ya katiba, na demokrasia katika nchi za maziwa makuu, lakini zote zilizobaki zimekuwa vichaka vya maharamia wa ubakaji wa demokrasia, au madikteta, au manduli. Zipo tayari kuona watu wakipotea maadamu mkate wao upone.

Source: ITV

Matamshi ya Mheshimiwa Raisi Uhuru Kenyata ni matakwa ya kikatiba na uongozi bora, na hayatakiwi wala kusifiwa. Kwa kutoa matamshi kama haya Uhuru Kenyata au kiongozi mwingine yoyote hatakiwi kupata credit kwani kimsingi anatekeleza wajibu wake
 
87f8f24f9fbacc153a32c016fe55b099.jpg


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amejinasibu kuachia madaraka kwa amani katika uchaguzi ujao endapo upinzani utashinda ili kuheshimu maamuzi ya wananchi.

Kenya ndio nchi pekee inayo heshimu misingi ya katiba, na demokrasia katika nchi za maziwa makuu, lakini zote zilizobaki zimekuwa vichaka vya maharamia wa ubakaji wa demokrasia, au madikteta, au manduli. Zipo tayari kuona watu wakipotea maadamu mkate wao upone.

Source: ITV
".......Nchi zingine zilizobaki zimekuwa vichaka vya maharamia wa ubakaji wa demokrasia......"
Hayo ni maneno YAKO ama ya ITV?
Sidhani ITV walisema hayo yote uliyoyaandika!
 
Back
Top Bottom