Uhuru, Haki na Maendeleo

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
20,455
Reaction score
36,446
Mama Tanzania nakupenda kwa moyo wote.

Serikali yetu imefanya kazi kubwa sana kujenga umoja na kudumisha amani na ustawi tulio nao chini ya misingi ya uhuru na haki na hii inatusaidia sana katika jitihada za kukuza uchumi wa taifa letu. Tusisahau kwamba hakuna maendeleleo bila amani na tumshukuru Mungu kwa amani tuliyonayo🙏

Your browser is not able to display this video.


Mungu ibariki Tanzania
 
Manjagata hiyo ni Kilimanjaro. Wao wamesema hawataki fujo wala matusi, wanasubiri sanduku la October 28
 
Aisee hadi CCM mmeunga mkono Chadema! Kweli Lissu Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025

Nani wameunga mkono wengine? Watu wamekutana barabarani ulitaka waanzishe vita badala ya kusalimiana??
Hii anathibitisha wazi wananchi hawana shida ila wanasiasa ndio wenye shida, kwa tukio hili Tanzania ni nchi yenye misingi ya demokrasia na kuheshimiana, kila mtanzania ana uhuru na haki ya kuchagua anachoona ni sawa kwake
 
Ni amani au ni uoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…