UHURU: CHADEMA yapasuka

Nilidhani wenye habari hii ni gazeti la maana kumbe ni uhuru!Ngoja nijipumnzikie mie.
 
Masikini Uhuru, hata habari ya kenya nayo ni ya kizushi, kenya hawana wagombea uraisi, maana kuitwa mgombea ni mpaka tume ya uchaguzi ikutangaze, sasa wenzetu nadhani muda bado sana tu, sijui uhuru wamayatoa wapi hayooooo?
 
Source: Uhuru mnapoteza muda kwenye mambo ambayo siyo ya msingi baadala ya kushughulika na matatizo ya wapiga kura wenu.
time will tell!

Kwanza gazeti la uhuru ni la kusomwa na watu wambeya na mashakudaku tu,halina mvuto wala tija,ni hasara tupu.Mwenye macho haambiwi tazama,tumeshuhudia magamba wameagwa kusini kwa macho ya watz wengi,uhuru hawana ubavu wa kutupa unbeya tukakubali,wanachadema tulishaweka pamba kwenye masikio juu ya umbeya wowote dhidi ya chama letu mpaka kieleweke.CORTIDE TUNGA KIBAO KUHUSU WANACHADEMA KUWA TAYARI KUSHEREKEA UHURU WA PILI NA WA KWELI 2015.
 
Ngoromiko, siku hizi UHURU inaitwa NIPASHE! Unajua UHURU haliaminiki ukaweka Nipesha siyo? Propaganda uchwara hizo.
 
Naunga mkono hoja 100 kwa 100 hii habari haipo NIPASHE MODS acheni kulegea mnasababisha JF inakuwa kijiwe cha porojo na mambo ya uongo!!
Bonyeza kitufe cha Report Abuse Mkuu.............nafikiri itashughulikiwa haraka
 
kufurika kwa watu wengi uwanjani sioni kama ndio sababu kua chama kinapendwa..mnakumbuka kule arumeru mikutano ya ccm ilikua imejaa maelfu ya watu lakini wakapigwa chini kwenye uchaguzi.
 
Katika chama cha demokrasia, kutofautiana sio habari! Kama walitaka 'kupigana' labda hiyo inaweza kuwa habari!
 
Watakubishia!!!!!
 
Ngoromiko, siku hizi UHURU inaitwa NIPASHE! Unajua UHURU haliaminiki ukaweka Nipesha siyo? Propaganda uchwara hizo.

Kuna wana nyinyiemu wanaamini kuwa watashinda mwaka 2015,wanaota mchana kutwa,CDM NI LAZIMA ITASHINDA KWA 50.62% AMINI USIAMINI.
 
Ngoromiko, siku hizi UHURU inaitwa NIPASHE! Unajua UHURU haliaminiki ukaweka Nipesha siyo? Propaganda uchwara hizo.

Naelewa tofauti ya UHURU na NIPASHE. Ni magazeti mawili tofauti. Source yangu ni NIPASHE, nashangaa mnatokwa na mapovu ya bluu kwa kung'ang'ana kuwa si kweli.

MODS waki-prove kuwa source yangu si kweli.... wanifungie maisha.
 
Naelewa tofauti ya UHURU na NIPASHE. Ni magazeti mawili tofauti. Source yangu ni NIPASHE, nashangaa mnatokwa na mapovu ya bluu kwa kung'ang'ana kuwa si kweli.

MODS waki-prove kuwa source yangu si kweli.... wanifungie maisha.
Mkuu humu ndani kuna mi mtu ina vichwa vigumu kama NAZI,sasa inakubishia wakati hata bei ya gazeti lenyewe hayajui...gosh!
 
Nami naunga mkono 100% kwamba kama hii habari haiko kwenye website ya Nipashe, MODS wanifungie maisha.
kama mtoto vile...si uweke link basi watu wakuelewe unang'ang'ana kulazimisha uaminiwe ilihali una kithibiotisho? weka link ya hiyo habari kuwaprove wrong wanaopinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…