UHURU: CHADEMA yapasuka

I think badala ya kuwa na denial, CCM wanatakiwa wajiangalie, wakubali mapungufu na kuanza kurekebisha... this denial doesnt take them anywhere, sanasana itawafanya wawe comfortable na excuses plus lies

CCM WANAHITAJI KUJIANGALIA SANA NA HASA WATU WALIOWAKABIDHI KAZI
 
Uhuru ndo kazi yake hio likikosa ruzuku litajifia lenyewe. Hivi umelikuta wapi manake kulipata ni issue
 
Hili neno kuwaka limekujaje?
Issue kama ilikuwa kutofautiana kwenye maoni mbona mambo ya kawaida?
Chadema kama chama makini siku zote inasimamia maamuzi ambayo yamechambuliwa kwa kina, na yanatolewa baada ya kuanyiwa assessment. Au mlitaka mtu moja akiamua kutoa maoni yake ndo maamuzi ya mwisho?
Acheni kupotosha bana.

I stand to be corrected
 

Wewe bwana usifanye watu wajinga. Habari hiyo imetolewa na gazeti la UHURU la leo. Gazeti makini haliwezi kuandika habari ya kuumba. Gazeti la magamba ndiyo kazi yake make halikuona misiba ya kenya na Makani siyo habari.
 

Kulumbana kwa hoja si kugombana. Leo hapa msibani walikuwa hivi.
 
kumbe kimewaka tu,mi nilidhani Dr slaa ametangaza kuhamia chama cha mafisadi,kuwaka sio isue!!!!pamoja na kuwaka huko mtaendelea kuvua magamba yenu na kuvaa magwanda yetu
 
Mkuu hii habari umeleta nusu je hili gazeti limeandika kikao kilifanyika wapi na lini? Siliamini gazeti la Uhuru lakini siwezi kukubali wala kukataa kwasababu sina baseline ya kufanya hivyo. Naomba mwenye habari kamili kutoka katika gaezeti hilo aiweke hapa. Naomba wadau munisaidie kuelewa suala hili kwanini nyote mumepinga suala hili, je kuna habari za ndani ya CDM zilizothibitisha hakuna kitu kama hiki au kwasababu ipo kwenye gazeti la magamba tu?.
 
"Waacheni wafu wazike wafu wao"ccm na porojo na Chadema na sera na mipango tunazidi kusonga mbele.
 
Ngoromiko means shetani, ibilisi lusifa, belzebuli.... Nakushauri acha mambo ya CDM yalivyo ujue yeyote anaye wahuzunisha wana wa nchi kwa habari za kutunga ili kuibeba ccm laana haitamwacha. Acha kabisa.


Lolote linawezekana. Kama hamlijui hili, TISS (Usalama wa Taifa) wamepewa kazi maalumu na Serikali ya C C em kuhakikisha wanawavuruga aidha Dr. Slaa Vs Mbowe, Mbowe Vs Zitto au Dr Slaa Vs Zitto. Ni kazi imeandaliwa toka ngazi za Wilaya hadi Taifa.

Naomba tusiibeze habari hii, bali tuifanyie kazi. Huu ni mpango uliosukwa ili kukivuruga CDM kabla ya 2015.

Take it from me and act promptly.
 
Hata kama ni kweli limetokea hili na baadaye kuafikiana basi hiyo ndiyo demokrasia. Si lazima atakalo amua mwenyekitii ama katibu basi kikubalike tu. Kama ilikuwa ni kikao, basi ikitokea kutofautiana ni sawa. Mwisho wa siku mnatoa maamuzi yaliyoamuliwa na kupimwa na wengi kutokana na hoja husika. Nahisi watu mmezoea maamuzi ya kiditekta, yani fulani akisema wote mnafyata hata kama yanamapungufu makubwa.
 
Kipi cha ajabu, kutofautiana mawazo mbona nikawaida 2, si ndo maana ya vikao!
 
kama source ni uhuru,na mtoa mada kasema ni nipashe kwanin thread isifungwe?
 
Katika magazeti yanayotakiwa kusomwa kama barua (sensu Makinda) ni hili la uhuru.
 
ngoromiko ni majini na mapepo na baba yao ni shetani babu yao lusifa na lugha zao ni UONGO MTUPU. (maisha bora kwa kila Mtanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…