Uhuni wa shule za serikali (boarding school)

Netanyauu

Member
Sep 15, 2019
34
41
Salaam wakuu
Habari za miangaiko ndugu zangu,kuna hili suala la shule za serikali hasa za kidato cha tano na sita kuamua bila kuzingatia kipato cha wazazi kuweka michango mingi isiyokuwa na ulazima.Mfano Shule ya sekondari Chato iliyopo wilaya chato,mwanafunzi anaambiawa alipe hela ya taaluma 20000, hela ya vibarua 30000, hela ya majaribio 10000, hela ya ukarabati 15000 kwa uchache. Hivi kama siyo upigaji huo ni nini, Serikali angazieni hizi wanafanya vitu vya eti kwa sababu siyo elimu bure wanarundika michango mingi isiyokuwa na uhalali wowote.
Hapa chini nimebatanisha fomu ya mwanafunzi iliyotumwa kwa mzazi
324c8826-8b7a-411b-a9fb-f34fa72cacf5.jpg
 
Hakuna kueleweshwa hapo,au we mwalimu wa pale nini,michango haina maana.mfano vibarua gani wakati serikali inatoa pesa kila mwezi kilipa wapishi pamoja na walinzi?
Kawaida serikali inaajirigi wapishi wawili kila shule wengine shule lazima itafute vibarua kutokana na michango ya wanafunzi ndio maana nikakushauri nenda shuleni kwa maelezo zaidi
 
Salaam wakuu
Habari za miangaiko ndugu zangu,kuna hili suala la shule za serikali hasa za kidato cha tano na sita kuamua bila kuzingatia kipato cha wazazi kuweka michango mingi isiyokuwa na ulazima.Mfano Shule ya sekondari Chato iliyopo wilaya chato,mwanafunzi anaambiawa alipe hela ya taaluma 20000, hela ya vibarua 30000, hela ya majaribio 10000, hela ya ukarabati 15000 kwa uchache. Hivi kama siyo upigaji huo ni nini, Serikali angazieni hizi wanafanya vitu vya eti kwa sababu siyo elimu bure wanarundika michango mingi isiyokuwa na uhalali wowote.
Hapa chini nimebatanisha fomu ya mwanafunzi iliyotumwa kwa mzaziView attachment 1312444
Mwezi umeanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu
Habari za miangaiko ndugu zangu,kuna hili suala la shule za serikali hasa za kidato cha tano na sita kuamua bila kuzingatia kipato cha wazazi kuweka michango mingi isiyokuwa na ulazima.Mfano Shule ya sekondari Chato iliyopo wilaya chato,mwanafunzi anaambiawa alipe hela ya taaluma 20000, hela ya vibarua 30000, hela ya majaribio 10000, hela ya ukarabati 15000 kwa uchache. Hivi kama siyo upigaji huo ni nini, Serikali angazieni hizi wanafanya vitu vya eti kwa sababu siyo elimu bure wanarundika michango mingi isiyokuwa na uhalali wowote.
Hapa chini nimebatanisha fomu ya mwanafunzi iliyotumwa kwa mzaziView attachment 1312444
Elimi ni gharama.wewe lipa tuu
 
Hako kaki pengele kalikochomekewa na wino wa bluu "UKARABATI" kananukia Upigaji wa hali ya juu.. kama barua iliandiliwa lazima ihakikiwe na Mkuu atie saini na ndio ipigwe chapa.. Aisee pole kwa hao vijana maana huo msururu wa malipo ni kisanga na nusu.
 
Back
Top Bottom