Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Kama ulifuata taratibu zote za uhamisho na kuambatanisha vitu vyote vinavyo hitajika, uhamisho ni 99.99%
 
Kwa wale walioomba uhamisho wa January 2016 kupitia tamisemi,ni lini majina hayo yatatolewa?kwa maana January ndo hii,samahan kwa anayejua naomba atujuze🙂
Tafadhali tuwe na subira wahusika wanashugulkia mara taratbu ztakapo kamilika taarfa ztatolewa.
 
mie kujipunguzia presha ya kusubiria,nimeamua kujiwekea deadline ya mpaka 22-01-2016!nakumbuka mwaka 2015 yalitoka tarehe 21-01-2015!kwahyo na mie naweka ya mpaka tarehe 22,iwapo watayatoa kabla ya hapo basi itakuwa vyema na bora!
 
mie kujipunguzia presha ya kusubiria,nimeamua kujiwekea deadline ya mpaka 22-01-2016!nakumbuka mwaka 2015 yalitoka tarehe 21-01-2015!kwahyo na mie naweka ya mpaka tarehe 22,iwapo watayatoa kabla ya hapo basi itakuwa vyema na bora!
Hahahaha nimeipenda hiyo
 
Presha inapanda presha inashuka hasa kama uliuza vitu vyote kisha ukaenda likizo ikijua ukirud n uhamisho tu sasa tunafikia kununua vitu hahahaaaaa
 
Mhhh na ni neema kweli maana n zaid ya kusbiria matokeo ya mitihani
 
Tetesi jaman Leo kuna possibility ya majina ya uhamisho kutoka,kaa mkao wa kupanga mazagazaga sasa
 
Presha inapanda presha inashuka hasa kama uliuza vitu vyote kisha ukaenda likizo ikijua ukirud n uhamisho tu sasa tunafikia kununua vitu hahahaaaaa
Mm nimeuza nimebakza kitanda tv subwofer tu na vyombo nimesema siuzi mpaka nipate uhakika
 
Kila mda naingia net kuchungulia naona bado hahahaaaa kaz kwel roho juu tu mungu tusaidie wote tutoke
 
Back
Top Bottom