kweli kaweka sema mi sijui ningeweka humuhumu page tena topic yake haijachangiwa na m2 2mia pc mi cm file ni kubwa halifnguk.Namour, mbona mfarisayo wako cjui mgalatia hatoi majina ukiingia anakurudisha ulikotoka au haya mambo ya mitandao yana m2 na m2? Please mkuu kama kweli 2saidie ili nasi tuchungulie. Pressure pressure jaman mtatuumiza wenzenu!