Mzalendo92
Senior Member
- Dec 29, 2014
- 177
- 5
Hivi ni kweli kuwa uhamisho umefunguliwa kwani napata tetesi tu na ktk web ya Tamisemi hakuna tangazo
Serikali haifanyi kazi kwa tetesi, jihadhari na matapeli!Hivi ni kweli kuwa uhamisho umefunguliwa kwani napata tetesi tu na ktk web ya Tamisemi hakuna tangazo
Uombe uhamisho mwenyewe halafu tukulipe?Mbona uhamisho umefunguliwa mkuu.
Mwezi wa 6 walimu wengi wamehamishwa. Lakini cha ajabu WAMEHAMISHWA BILA KULIPWA, NA WAKATI RAIS ALIKATAA.
WAKURUGENZI EBU WALIPENI WALIMU PESA ZAO,
MNAMHAMISHA MWALIMU BILA KUMLIPA MNATARAJIA NINI,
MBONA NINYI MNAPOENDA VIKAONI HAMJIKOPESHI?