JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
Kuna rafiki yangu kapewa barua na mwajiri kuwa anahamishwa kituo cha kazi kwa kuwa ni mtovu wa nidhamu. Tafsiri yangu huu ni uhamisho wa adhabu. Na ati hatakiwi kulipwa stahili zozote za uhamisho. Kituo kipya ni zaidi ya kilomita themanini. Namhurumia atasafirishaje familia yake katika hali hii. Hata hivyo swali ni je Sheria zinasema nini kuhusu hili? Ni sawa? Ndugu yangu huyu ni mwajiriwa wa serikali hii hii.
Nawasilisha.
Nawasilisha.