Uhamisho TAMISEMI June 2016 kwa Walimu vipi?

Uhamisho TAMISEMI June 2016 kwa Walimu vipi?

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Majina ya walimu walioomba kuhama mwezi wa 6 yamekwamia wapi? Au tayari? Mwenye taarifa atujuze.
 
hivi uhamisho nao c umesitishwa kwanza kama ilivyo kwenye ajira? au sielewi!!
 
Umesitishwa uhamisho wa idara moja kwenda idara nyingine, huu wa kawaida uko palepale
 
Mkuu subiri hadi zoezi la uhakiki wa wafanyakazi hewa likamilike.
 
Wakuu ni kwamba serikalini kwa sasa hakuna mchakato wowote unaoendelea kupitia utumishi...
ajira..uhamisho..promotions....vibali vya aina zote hakuna hadi uhakiki uishe...
 
Wakuu ni kwamba serikalini kwa sasa hakuna mchakato wowote unaoendelea kupitia utumishi...
ajira..uhamisho..promotions....vibali vya aina zote hakuna hadi uhakiki uishe...

Asante kwa taarifa. Usisite kutufahamisha pindi zoezi litakapokamilika
 
Uhamisho huu hausishi kuongezeka kwa mshahara au nyongeza yeyote, kulingana waraka uliotoka . Subiri bado muda kidogo
 
Anamaanisha hauhusishi kuongezeka kwa mshahara yaani salary increment na kupanda madaraja kwa watumishi

kwa maana hiyo haujaathiriwa na chochote na upo palepale kwa mjibu wa taratibu zilvyo!!?
 
Mkataaa kwao ni mtumwa...Na mcheza kwao hutunzwa...

Njoo Njombe Mji aje Maeneo yafuatayo
Kilimanjaro (marangu)
Bagamoyo
Kibiti
Kibaha
Chalinze
Korogwe
Kisarawe
Kigamboni

Idara sec 0759007829

Rudi karibu na Kwenu ujiandalie mazingira ya kustaafuuu
 
Mkataaa kwao ni mtumwa...Na mcheza kwao hutunzwa...

Njoo Njombe Mji aje Maeneo yafuatayo
Kilimanjaro (marangu)
Bagamoyo
Kibiti
Kibaha
Chalinze
Korogwe
Kisarawe
Kigamboni

Idara sec 0759007829

Rudi karibu na Kwenu ujiandalie mazingira ya kustaafuuu
 
Mkataaa kwao ni mtumwa...Na mcheza kwao hutunzwa...

Njoo Njombe Mji aje Maeneo yafuatayo
Kilimanjaro (marangu)
Bagamoyo
Kibiti
Kibaha
Chalinze
Korogwe
Kisarawe
Kigamboni

Idara sec 0759007829

Rudi karibu na Kwenu ujiandalie mazingira ya kustaafuuu



Wakubwa Vp? Uhamisho wa watumishi wa umma julai 2016 utatolewa lini? anayejua atujuze
 
Aiseee uhamisho nishidaaa hakieleweki labda mpaka mzee atakapoamka vizuri.noma kweli yaani
 
Back
Top Bottom