Uhamisho kada ya elimu

Uhamisho kada ya elimu

matosile

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2014
Posts
329
Reaction score
135
Hivi uhamisho wa kubadilishana unatakiwa ukae muda gani kituoni ili uweze kuhama?
Maana binafsi nimekataliwa nimeambiwa mpaka nikae miaka mitatu.Naomba anayejua anijuze.
 
Umekaziwa tu,uhamisho huo haujali hzo protoko,...toa mlungura
 
Popote kambi mkuu.. chapa kazi kwani huwezi jua neema gani zipo huko mbeleni kwa kubaki hapo ulipo
 
Mimi pia hiki kitu kimemtokea ninaebadilishana nae ameambiwa mpaka miaka 3
 
Habari ndugu zangu, kunatetesi za uhamisho kuruhusiw ni kweli? mwenye taarifa atujuze. Asante
 
Habari ndugu zangu, kunatetesi za uhamisho kuruhusiw ni kweli? mwenye taarifa atujuze. Asante
 
Back
Top Bottom