UHAMIAJI ,what next tujulishane hapa

UHAMIAJI ,what next tujulishane hapa

Vp kuhuc zimamoto mkuu wanatoa lin majina ya kfanya usaili
 
mbona kama sielewi...
kwan watu washakatwa!!??
 
Idara ya Uhamiaji
inapenda
kutahadharisha umma
kuwa kuna taarifa
zisizo sahihi za
Tangazo la ajira ya
Mkaguzi Msaidizi wa
Uhamiaji, Koplo wa
Uhamiaji na Konstebo
wa Uhamiaji
zimechapishwa na
kusambazwa katika
mitandao mbalimbali
ya tovuti na simu za
mkononi. Tangazo
hilo sio sahihi na
linalenga kupotosha,
kutapeli na kuleta
usumbufu kwa umma.
Kwa taarifa hii
Wananchi wanaombwa
kutolitambua Tangazo
hilo kwani lilikwisha
fanyiwa kazi toka
mwaka 2014 na
wahusika
waliochaguliwa wapo
chuoni kwenye
Mafunzo ya Awali ya
Uhamiaji.
IMETOLEWA NA:
KITENGO CHA
UHUSIANO,
IDARA YA UHAMIAJI
MAKAO MAKUU
DAR ES SALAAM
 
Kiwira mwaka huu mnaenda uhamiaji 500 ZIMAMOTO 1000
 
uhamiaji kuripoti kurasin trh 10 ili muuende cpp moshi mafunzon mwez huu wa 9,2015
 
sijajua lini ila nimeona tangazo lao la juzi kuwa waliofaulu usaili wanatakiwa kufika trh 10 .9.2015 kurasin dar kuanza safari ya mafunzon moshi
 
KUITWA MAFUNZONI

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia wote waliofaulu usaili wa nafasi za ajira ya Konstebo, Koplo na Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji ulioendeshwa katika Kambi na Vikosi vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuwa wanatakiwa kuripoti Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Mtaa wa Loliondo Kurasini Dar es salaam Siku ya Alhamisi, Tarehe 10 Septemba, 2015 kwa ajili ya maandalizi ya safari ya kwenda kujiunga na Shule ya Polisi- Moshi hapo Tarehe 11 Septemba, 2015. fuata ukurasa huu kwa maelezo zaidi
 
Back
Top Bottom