Shakur2014
New Member
- Feb 20, 2014
- 2
- 0
Wadau naomba nijulisheni uhamiaji washatoa shortlisted na interview ni lini?! Nimesikia "hearsay" kuna watu wanaenda kwenye interview
unauliza au unatutaharifu
Wadau naomba nijulisheni uhamiaji washatoa shortlisted na interview ni lini?! Nimesikia "hearsay" kuna watu wanaenda kwenye interview
Shirtlisted + Unatutaharifu=Lol
Wewe unaulizia Shortlisted na Interview?utasubiri sana na utakufa bila kelele kama walivyokufa wafuasi wa Kibwetere ndani ya Bweni,watu wapo mstari wa mbele Depo wiki ya tatu hii. Teh teh teh.....
Wewe unaulizia Shortlisted na Interview?utasubiri sana na utakufa bila kelele kama walivyokufa wafuasi wa Kibwetere ndani ya Bweni,watu wapo mstari wa mbele Depo wiki ya tatu hii. Teh teh teh.....
such a man... deserves a khanga moko life style
Wadau naomba nijulisheni uhamiaji washatoa shortlisted na interview ni lini?! Nimesikia "hearsay" kuna watu wanaenda kwenye interview