Uhamiaji kidogo kuna nafuu sasa

Uhamiaji kidogo kuna nafuu sasa

Pale pamerekebika sana. Tunampa hongera Dr. Makakala CEO wa Uhamiaji.
 
Hivi kwa wale tuliokuwa nazo tunataka kubadili tupate mpya tunaanza maombi upya kabisa kama hukuwahi miliki passport au kuna ka unafuu fulani
Namimi natamani kujuzwa hili.
 
2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa
Mkuu kama nina ile ya kijani ya zamani nataka kupata hizi mpya, procedure ikoje...n starting point?

Thanks in advance.
 
Mkuu kama nina ile ya kijani ya zamani nataka kupata hizi mpya, procedure ikoje...n starting point?

Thanks in advance.
Mahitaji yale yale,unajaza form ile ile ila utaandika kubadilisha. Form unajaza online,una upload documents zote unalipia kisha unapakua form unaenda nazo uhamiaji. Uwe na
Cheti cha kuzaliwa
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa cha mzazi

Lazima uwe na kitambulisho cha taifa
 
Hivi kwa wale tuliokuwa nazo tunataka kubadili tupate mpya tunaanza maombi upya kabisa kama hukuwahi miliki passport au kuna ka unafuu fulani
Procedures zile zile,utaandika tu kubadilisha badala ya maombi mapya
 
Mahitaji yale yale,unajaza form ile ile ila utaandika kubadilisha. Form unajaza online,una upload documents zote unalipia kisha unapakua form unaenda nazo uhamiaji. Uwe na
Cheti cha kuzaliwa
Kitambulisho cha taifa
Cheti cha kuzaliwa cha mzazi

Lazima uwe na kitambulisho cha taifa
Shukran
 
Back
Top Bottom