RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,874
- 129,879
Hapo sawaNilishikwa mkono tu na jamaa wa ndani mule, the good thing jamaa hakutaka hata Senti yangu, na ukamilifu wa dokomaa pia ulichangia.
Hapo sawaNilishikwa mkono tu na jamaa wa ndani mule, the good thing jamaa hakutaka hata Senti yangu, na ukamilifu wa dokomaa pia ulichangia.
Wanaweza kuwa walifariki ukiwa mdogo sanaKAMA.WAZAZI HUNAUMEZALIWAJE DUNIANI JAMANI....AMA.KISWAHILI SIJAELEWA...UTAKUWA NA UPAKO WA JOSEPH ..
Kwani sasa hivi wanatoa bure? Bahati mbaya pp huwezi kumpa mtu kisa ana 150k tuWangefanya biashara wangesharudisha hela zao mapema sana. Passport milioni 1 wangepata bilioni 150
Kwanini wasikubali?
Vyeti vya wazazi kama huna unaenda kwa mwanasheria anamtengenezea mzazi affidavit
Kwanini utoe 300,000 wakati kama umekamilika Kwa 150,000 unaipata ndani ya siku 10?!Ndani ya siku mbili tu ila andaa laki 3 na nusu
Pia teknolojia hubadilika haraka wakienda tatatibu watajikuta zinakuja za Aina zingine Kama ilivyotokea kwa passport ambazo zinabadilishwa Sasa hivi kuwa hazitatumika tena.Waongeze spidi ya kutoa ilinteknolikia hata ikibadilika wawe wameshavina pesa hasa.Wangefanya biashara wangesharudisha hela zao mapema sana. Passport milioni 1 wangepata bilioni 150
We kiboko hawajakuzingua kweli?2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa
Mkuu ulifanyaje nahitaji ya faster j3 hapo napeleka doc zao nione mtanange utakuwaje.I used only 4 days to get mine.
Ndani ya siku mbili tu ila andaa laki 3 na nusu
Aisee...ilikuwaje?
Kwanini wasikubali?
Vyeti vya wazazi kama huna unaenda kwa mwanasheria anamtengenezea mzazi affidavit
Hapa uliwaweza mkuu2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa
Sasa uthibitisho naupata wapi wa hiyo safari yangu mkuu?NI card or number
Cheti chako cha kuzaliwa
Cheti cha mzazi au affidavit
Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
Uthibitisho wa safari(rahisi kuruka hiki kihunzi)
Gharama 150,000
Nami nimetoka kuchukua yangu muda si mrefu. Nliwaambia naenda SA kutalii!2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa
Safari nyingine hazina uthibitisho. Waambie unaenda SA kutembea.Sasa uthibitisho naupata wapi wa hiyo safari yangu mkuu?
Tena huduma zote za affidavit vyapatikana karibu na uhamiaji
Nami nimetoka kuchukua yangu muda si mrefu. Nliwaambia naenda SA kutalii!
Imechkua siku 18 kukamilika.
Kongole kwao now mausumbufu na virushwa vidogo sijakumbana navyo!!