Uhamiaji kidogo kuna nafuu sasa

Uhamiaji kidogo kuna nafuu sasa

Northern Lights

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
410
Reaction score
366
Imechukua wiki tatu hadi kupokea taarifa za kwenda kuchukua passport yangu. Ukiwa na taarifa zote naona usumbufu si mwingi sana. Ila kero yangu bado ni kwenye kuomba barua za safari. Kuna watu wanapanga kutumia passport Mwakani halafu nyie mnawaomba uthibitisho leo.


Adjustments.JPG
 
2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa
 
2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa
Ni Vielelezo Gani Wanahitaji Na Gharama Ya Passport Ni Kiasi Gani Mpaka Unakamilisha ?
 
2018 nilichukua ile ya kijani na miezi miwili iliopita nimechukua ya blue. Niliwaambia nasafiri naenda Dubai(sihitaji uthibitisho naenda kutembea) na SA(sihitaji uthibitisho naenda kutembea na sihitaji hata Visa).
Dawa yao waambie unaenda kutalii,taja nchi isiohitaji mwaliko wala Visa

Noted,ntatumia technic hii.

Thnxs
 
Ni Vielelezo Gani Gani Wanahitaji Na Gharama Ya Passport Ni Kiasi Gani Mpaka Unakamilisha ?
NI card or number
Cheti chako cha kuzaliwa
Cheti cha mzazi au affidavit
Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
Uthibitisho wa safari(rahisi kuruka hiki kihunzi)
Gharama 150,000
 
NI card or number
Cheti chako cha kuzaliwa
Cheti cha mzazi au affidavit
Barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa
Uthibitisho wa safari(rahisi kuruka hiki kihunzi)
Gharama 150,000
Unarukaje Mkuu Maana Wengine Safari Zetu Hazieleweki, Inaweza Kuja Ghafla.

Hapo Red: Unamaanisha NIDA Card or Number ?
 
Gharama ni 150k ikiwa una cheti chakuzaliwa cha chako na mzazi mmoja.
Kama huna cheti cha kuzaliwa wewe na mzazi mmoja andaa 20k@ sawa na 40k plus 150k=190k
Ni Vielelezo Gani Wanahitaji Na Gharama Ya Passport Ni Kiasi Gani Mpaka Unakamilisha ?
 
KAMA.WAZAZI HUNAUMEZALIWAJE DUNIANI JAMANI....AMA.KISWAHILI SIJAELEWA...UTAKUWA NA UPAKO WA JOSEPH ..
 
Back
Top Bottom