Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 410
- 366
Imechukua wiki tatu hadi kupokea taarifa za kwenda kuchukua passport yangu. Ukiwa na taarifa zote naona usumbufu si mwingi sana. Ila kero yangu bado ni kwenye kuomba barua za safari. Kuna watu wanapanga kutumia passport Mwakani halafu nyie mnawaomba uthibitisho leo.