UHAMASISHAJI WA KUIGWA

Joined
Jan 13, 2018
Posts
38
Reaction score
50
Nichukue fursa hii kumpongeza waziri ummy kwa uzalendo ulotukuka.huyu mama nimempenda bure,viongozi wote wangekua hivi naamin timu nyingi zingefanya vizuri.nichukue nafasi hii nimtake waziri wa michezo na mkuu wa mkoa wa kilimanjaro kuiga mfano huu .kuna mikoa timu zao zinazid kudidimia kila mwaka na tatizo linajulikana.viongozi wetu jiongezeni katika kuinua soka letu.kufanya hivo kutawapa vijana ajira na kuwaepusha na mambo mabaya kama utumiaji wa madawa ya kulevya nk .
 
Ummy kwenye michezoo ni kifaa viongozi wengine tuige
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…