SAWA MKUU NAKUSUBIRIDah nilikuwa najiandaa kukutag umeniwahi... Nitarejea
Binafsi huwa naamini katika nguvu halisi za kiroho, but ikija suala la nyota fulani kuwa kiwakilishi cha nguvu hizo hapo bado sijajikita zaidi. So may be labda kama kuna matendo ambayo yanaweza onyesha uhusianoLinganisha nyota ama pata elimu yake
Nyota yako unaijuaje?Unaruhusiwa kumuuliza na ni lazima mjuane nyota zenu... Mume akiwa mbuzi na mke akiwa simba ni shida pia
Kuna mawasiliano ya moja kwa moja kati ya roho na nyota....Binafsi huwa naamini katika nguvu halisi za kiroho, but ikija suala la nyota fulani kuwa kiwakilishi cha nguvu hizo hapo bado sijajikita zaidi. So may be labda kama kuna matendo ambayo yanaweza onyesha uhusiano
Hata usipoamini bado zipo na zinafanya kazi... Maisha yako yako connected na galaxy hivyo hata kama huamini bado utendaji utakuwepo tuu
We fuatilia tu mkuu hata kama ni dhambi jehanamu si utaenda mwenyeweShukrani Mkuu.
Huwa nawashangaa sana watu wanaodhani kufuatilia nyota ni dhambi.