GE2025 Uhalisia ndani ya harambee ya CCM

GE2025 Uhalisia ndani ya harambee ya CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Michael Dudicoff

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2024
Posts
203
Reaction score
270
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.

Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa ni kupeleka ujumbe kwa wapinzani wa mama Samia wanaodai kwamba mama Samia hakubaliki na watu wamemchoka, na kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko , kuwaonyesha kwamba bado CCM ina umoja na iko pamoja na mama Samia na kwamba watanzania wa kada tafautitafauti bado wapo pamoja na mama Samia na wapo tayari kumuunga mkono kwa kila hatua ya kisiasa anayoichukua kwa ajili ya maendeleo ya chama na serikali.
Kitendo cha kupata zaidi ya bilioni 80 ndani ya siku moja kati ya bilioni 100 zinazotakiwa ikiwa ni mchango kutoka makundi tafautitafauti wakiwemo wanasiasa, wafanya biashara wakubwa , wachimbaji wa madini, klabu za mipira na makundi mengine ni ujumbe kwa wale wanaompiga vita mama Samia na pia wanaosambaza propaganda za kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM kwamba wanapoteza muda wao bure kwakuwa mama Samia bado anakubalika sana na kuungwa mkono na watanzania wengi wa makundi tafautitafauti.

Wapinzani wa mama Samia wanatakiwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwakuwa kadiri wanavyompiga vita ndivyo ambavyo watanzania wanazidi kuwapuuza na kuongeza nguvu za kumsapoti rais Samia.
Moja ya maneno yaliyowavunja moyo wapinzani wa mama Samia ni maneno aliyoyasema dk Emmanuel Nchimbi baada ya mama Samia kuchukua fomu ya kugombea urais ya kwamba DK NCHIMBI AMEJIANDAA KUWA MSAIDIZI WA RAIS SAMIA NA HAKUJIANDAA KUWA MSHINDANI WAKE!.

Naomba kuwasilisha.
 
Una akili timamu wewe?
Unajua maana ya mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) lakini?
Kwamba singasinga aliyetoa bil 10 kwa mfano ili kuwadhihirishia hao unaowaita wapinzani wa mama. Kesho akiwa na mzigo wake bandarini akitaka msamaha wa KODI toka kwa huyo mama yako atamkatalia? Hembu kuwa na akili kidogo.
Serikali hij ya ccm iliyotutangazia kwqmba singasinga na Rugemalila ni WAHUJUMU UCHUMI kupitia tegeta escrow leo singa anaalikwa kwenye hafla ya kukichangia chama wewe bado uashupaza shinto na kuandika ujinga hapa.
Swali. Pale walikutanq kukichangia chama au kumchangia mama samia ?
 
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.

Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa ni kupeleka ujumbe kwa wapinzani wa mama Samia wanaodai kwamba mama Samia hakubaliki na watu wamemchoka, na kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko , kuwaonyesha kwamba bado CCM ina umoja na iko pamoja na mama Samia na kwamba watanzania wa kada tafautitafauti bado wapo pamoja na mama Samia na wapo tayari kumuunga mkono kwa kila hatua ya kisiasa anayoichukua kwa ajili ya maendeleo ya chama na serikali.
Kitendo cha kupata zaidi ya bilioni 80 ndani ya siku moja kati ya bilioni 100 zinazotakiwa ikiwa ni mchango kutoka makundi tafautitafauti wakiwemo wanasiasa, wafanya biashara wakubwa , wachimbaji wa madini, klabu za mipira na makundi mengine ni ujumbe kwa wale wanaompiga vita mama Samia na pia wanaosambaza propaganda za kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM kwamba wanapoteza muda wao bure kwakuwa mama Samia bado anakubalika sana na kuungwa mkono na watanzania wengi wa makundi tafautitafauti.

Wapinzani wa mama Samia wanatakiwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwakuwa kadiri wanavyompiga vita ndivyo ambavyo watanzania wanazidi kuwapuuza na kuongeza nguvu za kumsapoti rais Samia.
Moja ya maneno yaliyowavunja moyo wapinzani wa mama Samia ni maneno aliyoyasema dk Emmanuel Nchimbi baada ya mama Samia kuchukua fomu ya kugombea urais ya kwamba DK NCHIMBI AMEJIANDAA KUWA MSAIDIZI WA RAIS SAMIA NA HAKUJIANDAA KUWA MSHINDANI WAKE!.

Naomba kuwasilisha.
Haya tuma salamu 🎤 kwa watu watatu tu wenye mtazamo kama huu wa kwako hapa jukwaani.
 
Vipi kuhusu zile pesa benki kuu ili
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.

Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa ni kupeleka ujumbe kwa wapinzani wa mama Samia wanaodai kwamba mama Samia hakubaliki na watu wamemchoka, na kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko , kuwaonyesha kwamba bado CCM ina umoja na iko pamoja na mama Samia na kwamba watanzania wa kada tafautitafauti bado wapo pamoja na mama Samia na wapo tayari kumuunga mkono kwa kila hatua ya kisiasa anayoichukua kwa ajili ya maendeleo ya chama na serikali.
Kitendo cha kupata zaidi ya bilioni 80 ndani ya siku moja kati ya bilioni 100 zinazotakiwa ikiwa ni mchango kutoka makundi tafautitafauti wakiwemo wanasiasa, wafanya biashara wakubwa , wachimbaji wa madini, klabu za mipira na makundi mengine ni ujumbe kwa wale wanaompiga vita mama Samia na pia wanaosambaza propaganda za kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM kwamba wanapoteza muda wao bure kwakuwa mama Samia bado anakubalika sana na kuungwa mkono na watanzania wengi wa makundi tafautitafauti.

Wapinzani wa mama Samia wanatakiwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwakuwa kadiri wanavyompiga vita ndivyo ambavyo watanzania wanazidi kuwapuuza na kuongeza nguvu za kumsapoti rais Samia.
Moja ya maneno yaliyowavunja moyo wapinzani wa mama Samia ni maneno aliyoyasema dk Emmanuel Nchimbi baada ya mama Samia kuchukua fomu ya kugombea urais ya kwamba DK NCHIMBI AMEJIANDAA KUWA MSAIDIZI WA RAIS SAMIA NA HAKUJIANDAA KUWA MSHINDANI WAKE!.

Naomba kuwasilisha.
Ilizobadilisha kisa Saini ya migulu mchembe! Je hiyo harambee sio ya kutakatisha zile hela?? Panua akili usipanue tackle !!
 
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.

Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa ni kupeleka ujumbe kwa wapinzani wa mama Samia wanaodai kwamba mama Samia hakubaliki na watu wamemchoka, na kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko , kuwaonyesha kwamba bado CCM ina umoja na iko pamoja na mama Samia na kwamba watanzania wa kada tafautitafauti bado wapo pamoja na mama Samia na wapo tayari kumuunga mkono kwa kila hatua ya kisiasa anayoichukua kwa ajili ya maendeleo ya chama na serikali.
Kitendo cha kupata zaidi ya bilioni 80 ndani ya siku moja kati ya bilioni 100 zinazotakiwa ikiwa ni mchango kutoka makundi tafautitafauti wakiwemo wanasiasa, wafanya biashara wakubwa , wachimbaji wa madini, klabu za mipira na makundi mengine ni ujumbe kwa wale wanaompiga vita mama Samia na pia wanaosambaza propaganda za kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM kwamba wanapoteza muda wao bure kwakuwa mama Samia bado anakubalika sana na kuungwa mkono na watanzania wengi wa makundi tafautitafauti.

Wapinzani wa mama Samia wanatakiwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwakuwa kadiri wanavyompiga vita ndivyo ambavyo watanzania wanazidi kuwapuuza na kuongeza nguvu za kumsapoti rais Samia.
Moja ya maneno yaliyowavunja moyo wapinzani wa mama Samia ni maneno aliyoyasema dk Emmanuel Nchimbi baada ya mama Samia kuchukua fomu ya kugombea urais ya kwamba DK NCHIMBI AMEJIANDAA KUWA MSAIDIZI WA RAIS SAMIA NA HAKUJIANDAA KUWA MSHINDANI WAKE!.

Naomba kuwasilisha.
Bro una akili sana kwa kulijua hili.
 
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.

Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa ni kupeleka ujumbe kwa wapinzani wa mama Samia wanaodai kwamba mama Samia hakubaliki na watu wamemchoka, na kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko , kuwaonyesha kwamba bado CCM ina umoja na iko pamoja na mama Samia na kwamba watanzania wa kada tafautitafauti bado wapo pamoja na mama Samia na wapo tayari kumuunga mkono kwa kila hatua ya kisiasa anayoichukua kwa ajili ya maendeleo ya chama na serikali.
Kitendo cha kupata zaidi ya bilioni 80 ndani ya siku moja kati ya bilioni 100 zinazotakiwa ikiwa ni mchango kutoka makundi tafautitafauti wakiwemo wanasiasa, wafanya biashara wakubwa , wachimbaji wa madini, klabu za mipira na makundi mengine ni ujumbe kwa wale wanaompiga vita mama Samia na pia wanaosambaza propaganda za kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM kwamba wanapoteza muda wao bure kwakuwa mama Samia bado anakubalika sana na kuungwa mkono na watanzania wengi wa makundi tafautitafauti.

Wapinzani wa mama Samia wanatakiwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwakuwa kadiri wanavyompiga vita ndivyo ambavyo watanzania wanazidi kuwapuuza na kuongeza nguvu za kumsapoti rais Samia.
Moja ya maneno yaliyowavunja moyo wapinzani wa mama Samia ni maneno aliyoyasema dk Emmanuel Nchimbi baada ya mama Samia kuchukua fomu ya kugombea urais ya kwamba DK NCHIMBI AMEJIANDAA KUWA MSAIDIZI WA RAIS SAMIA NA HAKUJIANDAA KUWA MSHINDANI WAKE!.

Naomba kuwasilisha.
Kama ulisoma chuo, warejeshee cheti chao
 
Hakuna cha bilioni 80 wala nini ni usanii mtupu! Hizo hela wameiba serikalini km kawaida yao. Hio harambee ilikuwa danganya toto
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.

Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa ni kupeleka ujumbe kwa wapinzani wa mama Samia wanaodai kwamba mama Samia hakubaliki na watu wamemchoka, na kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko , kuwaonyesha kwamba bado CCM ina umoja na iko pamoja na mama Samia na kwamba watanzania wa kada tafautitafauti bado wapo pamoja na mama Samia na wapo tayari kumuunga mkono kwa kila hatua ya kisiasa anayoichukua kwa ajili ya maendeleo ya chama na serikali.
Kitendo cha kupata zaidi ya bilioni 80 ndani ya siku moja kati ya bilioni 100 zinazotakiwa ikiwa ni mchango kutoka makundi tafautitafauti wakiwemo wanasiasa, wafanya biashara wakubwa , wachimbaji wa madini, klabu za mipira na makundi mengine ni ujumbe kwa wale wanaompiga vita mama Samia na pia wanaosambaza propaganda za kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM kwamba wanapoteza muda wao bure kwakuwa mama Samia bado anakubalika sana na kuungwa mkono na watanzania wengi wa makundi tafautitafauti.

Wapinzani wa mama Samia wanatakiwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwakuwa kadiri wanavyompiga vita ndivyo ambavyo watanzania wanazidi kuwapuuza na kuongeza nguvu za kumsapoti rais Samia.
Moja ya maneno yaliyowavunja moyo wapinzani wa mama Samia ni maneno aliyoyasema dk Emmanuel Nchimbi baada ya mama Samia kuchukua fomu ya kugombea urais ya kwamba DK NCHIMBI AMEJIANDAA KUWA MSAIDIZI WA RAIS SAMIA NA HAKUJIANDAA KUWA MSHINDANI WAKE!.

Naomba kuwasilisha.
 
Habari za muda huu.
Niende kwenye mada Moja kwa moja.

Chama Cha Mapinduzi hakijakosa hela kiasi cha kuandaa harambee ya watu kukichangia pesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Miaka yote chama kimekuwa kikishiriki uchaguzi pasi na kuhitaji watu kukichangia.
Lengo kuu la harambee ile ilikuwa ni kupeleka ujumbe kwa wapinzani wa mama Samia wanaodai kwamba mama Samia hakubaliki na watu wamemchoka, na kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko , kuwaonyesha kwamba bado CCM ina umoja na iko pamoja na mama Samia na kwamba watanzania wa kada tafautitafauti bado wapo pamoja na mama Samia na wapo tayari kumuunga mkono kwa kila hatua ya kisiasa anayoichukua kwa ajili ya maendeleo ya chama na serikali.
Kitendo cha kupata zaidi ya bilioni 80 ndani ya siku moja kati ya bilioni 100 zinazotakiwa ikiwa ni mchango kutoka makundi tafautitafauti wakiwemo wanasiasa, wafanya biashara wakubwa , wachimbaji wa madini, klabu za mipira na makundi mengine ni ujumbe kwa wale wanaompiga vita mama Samia na pia wanaosambaza propaganda za kwamba kuna mpasuko ndani ya CCM kwamba wanapoteza muda wao bure kwakuwa mama Samia bado anakubalika sana na kuungwa mkono na watanzania wengi wa makundi tafautitafauti.

Wapinzani wa mama Samia wanatakiwa kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwakuwa kadiri wanavyompiga vita ndivyo ambavyo watanzania wanazidi kuwapuuza na kuongeza nguvu za kumsapoti rais Samia.
Moja ya maneno yaliyowavunja moyo wapinzani wa mama Samia ni maneno aliyoyasema dk Emmanuel Nchimbi baada ya mama Samia kuchukua fomu ya kugombea urais ya kwamba DK NCHIMBI AMEJIANDAA KUWA MSAIDIZI WA RAIS SAMIA NA HAKUJIANDAA KUWA MSHINDANI WAKE!.

Naomba kuwasilisha.
Chama cha wakulima na wafanyakazi kinaalika wafanyabiazhara kukichangia!
 
Una akili timamu wewe?
Unajua maana ya mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) lakini?
Kwamba singasinga aliyetoa bil 10 kwa mfano ili kuwadhihirishia hao unaowaita wapinzani wa mama. Kesho akiwa na mzigo wake bandarini akitaka msamaha wa KODI toka kwa huyo mama yako atamkatalia? Hembu kuwa na akili kidogo.
Serikali hij ya ccm iliyotutangazia kwqmba singasinga na Rugemalila ni WAHUJUMU UCHUMI kupitia tegeta escrow leo singa anaalikwa kwenye hafla ya kukichangia chama wewe bado uashupaza shinto na kuandika ujinga hapa.
Swali. Pale walikutanq kukichangia chama au kumchangia mama samia ?
Jawabu :
Pale walikutana kukichangia chama kinachoongozwa na mama Samia ili kuwezesha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambapo mama Samia ndiye mgombea wa urais kupitia chama Cha Mapinduzi.
 
Jawabu :
Pale walikutana kukichangia chama kinachoongozwa na mama Samia ili kuwezesha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu ambapo mama Samia ndiye mgombea wa urais kupitia chama Cha Mapinduzi.
Kwenye kile walichochangiwa wao ccm walikuwa na shilingi ngapi ambayo wale wakwepa kodi wasingechangia chama kingetumika kwa kampeni??
Basi ndo wachangiwe na watu waliohujumu uchumi juzi kina singasinga?kwamba singasinga amekuwa msafi ghafla baada ya raisi samia kuingia madarakani?
Rugemalila je? Vipi kuhusu GSM bilion 10 atalipwaje na raisi akiwa ikulu tayar?
Yule aliyemshambulia polepole AZIM DEWJ Je naye ni mwana ccm? Mtamkatalia akitaka mashamba ya mkonge kulr Tanga?
 
Back
Top Bottom