Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,544
- 284,046
Kila mara napenda kuwaambia watu ya kuwa Mungu sii Njomba Athumani wala Njomba Nchumari!Na kuwa dunia ni ya Mola!Kumbe wote walikamatwa Mitaani huku wengine wakitekwa.
Wakatishwa n.a. kupewa masharti kwamba wakikubali kuwa Mashahidi wa kumkandamiza Lissu watakuwa salama
Taarifa zingine zinaeleza kwamba wamo waliokamatwa kwa Ujambazi n.a. Ubakaji lakini Baada ya kukubali Sharit Hilo la kikatili kesi zako zilifutwa. (Nifae Leo ili nikufae kesho)
Tangu niipate akili sijawahi kuona mkakati wa kibwege kama huu
Sasa unategemea lile bichwa la maza liwe na ubongo wenye akili?Kumbe wote walikamatwa Mitaani huku wengine wakitekwa.
Wakatishwa n.a. kupewa masharti kwamba wakikubali kuwa Mashahidi wa kumkandamiza Lissu watakuwa salama
Taarifa zingine zinaeleza kwamba wamo waliokamatwa kwa Ujambazi n.a. Ubakaji lakini Baada ya kukubali Sharit Hilo la kikatili kesi zako zilifutwa. (Nifae Leo ili nikufae kesho)
Tangu niipate akili sijawahi kuona mkakati wa kibwege kama huu
HakikaKila mara napenda kuwaambia watu ya kuwa Mungu sii Njomba Athumani wala Njomba Nchumari!Na kuwa dunia ni ya Mola!
Inasikitisha sanaWajinga hawajui hata kutumia akili
Hakika hapa ndiyo ule usemi wa kuwa shetani Hana rafiki unapojidhihirisha rasmi!Huko tuendako Mambo yote yatafumuliwa Mahakamani, Kama Mmbwai na Iwe Mmbwai, baadhi ya ndugu wa Mashahidi wameahidi kuanikwa KILA kitu, kwa mtindo wa Liwalo na liwe
NaamHakika hapa ndiyo ule usemi wa kuwa shetani Hana rafiki unapojidhihirisha rasmi!
K ila shahidi alikamatwa n.a. wote ni wafuasi wa chadema, Hakuna hata wanaccm Wala asiye n.a. chamaGod forbid🥺
Wapo tayari kuuza ubongo!Wajinga hawajui hata kutumia akili
Ni aibu sanaCCM ni wapumbavu sana
Halafu huyo huyo aliye lazimisha kujisimika, Kesho ana wakaripia Polisi au Mahakama au ofisi ya mwendesha Mashtaka. Si watamuona ni kituko.Kumbe wote walikamatwa Mitaani huku wengine wakitekwa.
Wakatishwa n.a. kupewa masharti kwamba wakikubali kuwa Mashahidi wa kumkandamiza Lissu watakuwa salama
Taarifa zingine zinaeleza kwamba wamo waliokamatwa kwa Ujambazi n.a. Ubakaji lakini Baada ya kukubali Sharit Hilo la kikatili kesi zako zilifutwa. (Nifae Leo ili nikufae kesho)
Tangu niipate akili sijawahi kuona mkakati wa kibwege kama huu
Kabisa yaani