Uhakikiki wa watumishi wa serikari bado?

Uhakikiki wa watumishi wa serikari bado?

loupa

Senior Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
124
Reaction score
78
Wanaendelea vipi na ukaguzi wa watumishi!!
 
bado kabisa halmashaur ya ukerewe eti uhakiki unaanza tarehe 9/9/2016-14/9
 
Uhakiki bado sana tembelea facebook page ya sekretarieti ya ajira utaona kwa iyo tuwe wapole mambo bado
 
Sisi huku kwetu tulishahakikiwa ila nishangazwa na kauli za Jana kuna workmate aliitwa hajakamilisha yeti vyake,kaambiwa kuwa afanye jitihada akachukue cheti (chuoni) kwani kuna uhakiki wa Mara ya 3 , hivi jamani Mara 3 tunahakiki nini sasa? Haya mambo yanakera sana, tumechoka sasa kuhakikiwa na huu mwaka utaisha bila watu kupanda vyeo wala kupata nyongeza za mishahara kwa maigizo ya uhakiki yasiyo na mwisho
 
Bado tunahakiki maana usanii umezidi sana.........ila mtegemee mambo kuwa mazuri sana tukimaliza hili zoezi......."Watanzania mniombee".
 
Bado tunahakiki maana usanii umezidi sana.........ila mtegemee mambo kuwa mazuri sana tukimaliza hili zoezi......."Watanzania mniombee".
Duhhhh siasa hizo
 
Hili zoezi ni endelevu.Baada ya vyeti vya masomo na vya kuzaliwa itafata vyeti vya ndoa.
 
kuna baadhi wanasema uhakiki umeisha tarehe 3 mwezi wa nane............,sasanaona kimya tu......, sijui tatizo nini.
 
Back
Top Bottom