Uhakiki wa vyeti bado unaendelea?

Uhakiki wa vyeti bado unaendelea?

Na sa hv eneo LA kuhakiki na mapolisi wanakuwepo wakisema tu hiki n feki unapakiwa kwenye defender kutoka kwa mdhamana na hadi uanze kulipa mishahara yote uliyolipwa
 
vipi weye wamekuambia chako ni copy au unawashangaa hao wanaosema wamepeleka vyeti feki mkuu hapo cjakusoma hapo!!
Wao wanadeal na namba ya mtihani tyuuu...inaingizwa kwenye system kama kuna mwingine yuko idara nyingine kwa cheti kilekile ngoja inaripuka......inaoneshaa mbona huyu huyu mwenye index no hii yupo idara Fulani..........
 
Yan kuna baadhi wanakamatwa kuna maswali unaulizwa kuhusu shule uliyosoma ukijiumauma tu imekula kwako

Mfano MTU alimaliza darasa LA saba 2004 halafu form 4 .....2007 kuna mengi nasikiaaa
 
Uhakiki ndio irani yetu awamu hii na sasa tunahakiki TIN namba tukimaliza tunahakiki vitambulisho vya kupigia kura wakati huo tunawasiliana na RITA tuhakiki vyeti vya uzawa.
 
Back
Top Bottom