vidudi
Member
- Jun 28, 2016
- 75
- 37
Wana JF,
Naomba kuuliza vipi zoezi la uhakiki linavyoendelea kufanyika hapa nchini lina matokeo gani? Kuna wafanyakazi hewa vipi hao wanachukuliwa?
Kuna wenye vyeti original lakini si vyao nao vipi wao hujulikana?
Vipi unafanyika uhakiki kwa watumishi wa sekta za ulinzi (JWTZ, polisi, na Magereza) afya (madaktari na manesi) na walimu (wa primary, secondary na vyuo)? Nini tofauti kati ya uhakiki wa idara hizo tatu tofauti ktk uhakiki huo?
Kipi cha kuzingatia wakati wa uhakiki unafanyika kwako?
Nini hatima ya watu ambao hawana vyeti vyao halisi ila wanavyo halisi lakini si vyao?
Naomba kupata maelekezo kwa wale waliowahi kufanyiwa uhakiki na wale wenye ufahamu wa kina juu ya zoezi hili na lini mwisho wake kwa ujumla.
NAWASILISHA.
Naomba kuuliza vipi zoezi la uhakiki linavyoendelea kufanyika hapa nchini lina matokeo gani? Kuna wafanyakazi hewa vipi hao wanachukuliwa?
Kuna wenye vyeti original lakini si vyao nao vipi wao hujulikana?
Vipi unafanyika uhakiki kwa watumishi wa sekta za ulinzi (JWTZ, polisi, na Magereza) afya (madaktari na manesi) na walimu (wa primary, secondary na vyuo)? Nini tofauti kati ya uhakiki wa idara hizo tatu tofauti ktk uhakiki huo?
Kipi cha kuzingatia wakati wa uhakiki unafanyika kwako?
Nini hatima ya watu ambao hawana vyeti vyao halisi ila wanavyo halisi lakini si vyao?
Naomba kupata maelekezo kwa wale waliowahi kufanyiwa uhakiki na wale wenye ufahamu wa kina juu ya zoezi hili na lini mwisho wake kwa ujumla.
NAWASILISHA.