Sorry mkuu hatuwezi kuweka hiyo orodha kwa sababu ina majina ya watu wa majeshi.
Kwa nini orodha ya wenye vyeti vinavyochangiwa hawajaiweka wazi?Iwapo mtu anatumia Cheti chako bila wewe kujua utaanzaje kujitetea ili wasikusimamishie mshahara?Kwa nini hawa watu wa utumishi wanapenda ubabaishaji sana?Hivi wao wamekaguliwa vyeti vyao?Maana wanafanya mambo bila logic wakati yanaathiri sana maisha ya watu.
Wekeni orodha hapa ya wanaoshea vyeti,acheni ubabaishaji