mbna hasira sna?tunataka tuwajue hao vifaranga na mama yao ni akina nani
Zitto kanyanyasaswa sana,kasemwa sana,kawindwa sana,amekwepa sana maovu sasa naona ameamua liwalo na liwe.
Hata wewe? Nilishakuambia wewe huna tofauti na Kyuma inayotota! Chadema kitaendelea kuwepo na hakitakufa. Atakufa Lowassa wako na wewe wakati Cdm kikiendelea kuchanja mbuga.
Ccm kuna mgogoro wa makundi ya urais. Kuna mgogoro kati ya Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumay na Waziri mkuu aliejiuzulu kwa KASHFA YA RUSHWA Edward Lowassa,je hili unalizungumziaje?
Mmebakia tu kila siku kuandika habari za CDM km vile ndicho kinachoifanya CCM ishuke kwenye medani za siasa. Endeleeni kujifariji kuwa Cdm kuna mgogoro halafu tusubiri 2015 ndio tutaona.
Nashauri Chadema wamuachie Zitto kabwe awe Mwenyekiti kwasababu ndie mwenye uwezo kuliko Mbowe.
atanza kufa mama yako ufuate ww,atabaki yule mkeo anayemuwaza lowasa,halafu tutampiga p...u,...mbu
Nimejaribu kusikiliza maelezo ya zito ktk video ya tuhuma dhidi yake na ambayo ipo hapa jamvini, nimegundua yafuatayo:
[*=1]CHADEMA kuna tatizo la mifumo sawa na matatizo ya mifumo tuliyonayo ktk taifa letu
[*=1]Zitto anautumia vizuri udhaifu huo wa mifumo kwa sababu zake binafsi ambazo nadhani anazielewa mwenyewe kwa maana mtu ambaye ni NAIBU KATIBU WA CHAMA ansema:
- Yeye amekuja kwenye siasa za kitaifa akiwa na umri mdogo sana, jiulize kuna mahusiano gani kati ya umri na IQ
- Chadema hakuna migogoro lakin anapigwa mishale ndani ya chama kwa kuwa uchaguzi umekaribia na kuna nongwa kwa sababu yeye aliwahi kugombea nafasi ya mwenyekiti
- Yanayotokea chadema yalishawahi kutokea vyama vingine na kimsingi hakuna jipya maana waliowahi kuitwa WASALITI leo ni makamanda wa chadema eg marando
- Anapambana uswisi kutetea pesa za watz an Africa na anahitaji kupewa moyo lakin anakwamishwa na baadhi ya CDM, jiulize ANAPAMBANA na siyo km chama au timu TUNAPAMBANA
Ushauri kwa CHADEMA:
- Zito anatumia udhaifu huo wa mfumo kufanikisha kazi aliyotumwa na ccm. Kwa hiyo ikiwa kweli atapambana kuwa mwenyekiti wa chama na ukweli ni kuwa hawezi kupata lakini atatumia yanayotokea sasa ku justfy kuwa aliundiwa mgogoro ili mbowe mtu wa kaskazini aendelee kuwa mwenyekiti
- Mbowe umeshafanya kazi kubwa sana na huhitaji sana kuwa mwenyekiti ili uweze kuendelea kutoa mchango wako ktk harakati za kuwakomboa watz maana CHADEMA ni timu na siyo individuals. Kwa hiyo ikiwa zito atafanya kweli epuka kupambana na zito katika nafasi ya mwenyekiti kwa kuwa lengo lake siyo kushinda bali kushindwa ili kushindwa huko kuwe mtaji wa kufanikisha mradi maalum wa kuibomoa CHADEMA. Chama kina watu wengi sana makini ambao misimamo yao wameshaonesha kwa vitendo, Lissu, Mnyika, Msigwa, Prof Safari, etc etc.
Wewe unayehitaji mabadiliko katika Tanzania unaishauri nini CHADEMA?
Nionavyo kwa hakika kabisa Chadema hakuna mgogoro. Hii ni mia ploy ya system kuanzisha mambo ya kuvunja nguvu ya Chama hicho. Kwa taarifa yenu wamefanikiwa kumnunua na kumtumia mmoja wa moderators wa JF kuhakikisha kuwa mtandao huu huandiki tena habari za kuifedhehesha serikali au habari za aina hiyo hazichukui uzito mkubwa. Ni vizuri kuwa waangalifu maana soon nguvu na umaarufu wa JF yenyewe utapotea kabisa. Tutawapa jina la moderator huyo wakati ukifika.
Kama unampenda sana Zitto kwanini usimshauri baba yako amwachie Mama yako ili awe Mumewe na wewe uendelee kumuita Baba?
Nyie sio wafuasi wa CDM mnatuchaguliaje viongozi?Tangu lini adui yako akakushauri kuwa tumia silaha hii badala ya hii!?
Ni kweli mkuu! Huu sio jukwaa la Great thinkers tena bali ni Jukwaa la Umbea na kupigia promo CCM na vibaraka wake kina ZITTO. Naungana na wewe kuwa muda sio mrefu jukwaa hili wasipojirekebisha watu wengi nikiwemo nitajitoa kabisa. Bora nibaki Face book tuwaache hawa Kondoo kina Kilorit humu wakiendeleza Upumbavu wao.
nashauri mbowe aache kuweweseka namna hii na badala yake amkabili zitto kwenye uchaguzi.
Zitto kanyanyasaswa sana,kasemwa sana,kawindwa sana,amekwepa sana maovu sasa naona ameamua liwalo na liwe.
mbona wewe pia sio CDM?.
Ulishawahi kumsikia lini Mbowe akizungumzia huu ujinga wenu? Ngoma mnapiga wenyewe mnacheza wenyewe halafu leo mnataka mbowe ashiriki kuicheza! Kweli nyie hamnazo.
Km mnampenda sana Zitto si mumpeleke huko kwenu akagombee?
Mbona hamzungumzii TLP,NCCR,UDP,DP,CUF nk.ambavyo wenyeviti ni wale wale miaka yote? Why Cdm only?
Kwani ni lazima niwe CDM ndio niisemee? Mbona nyie ni CCM lakini mnamsemea mume wenu Zitto? Mimi sio Cdm lakini sichezi muzuki wa Ccm kwa kupitia Cdm?
Mama yangu si ni wewe? Wewe Mongooo huna akili wewe unadhani km umezoea kupigwa Pu...m..bu na huyo Basha wako ni kila mtu anafanya huo mchezo? Wewe ngoja tu muda si mrefu utajifungua hiyo mimba ya Huyo mzee umpate mtoto atakaeitwa Ngoyai!
Mama yangu si ni wewe? Wewe Mongooo huna akili wewe unadhani km umezoea kupigwa Pu...m..bu na huyo Basha wako ni kila mtu anafanya huo mchezo? Wewe ngoja tu muda si mrefu utajifungua hiyo mimba ya Huyo mzee umpate mtoto atakaeitwa Ngoyai!
Na mimi nina mawazo km yako kwa kuwa Lissu tayari matendo yake yanaonesha yeye ni mpiganaji wa namna gani