Kuna tudude wameleta sahizi ,badala wa konyagi hahahaaa Tsh 1000/= ni balaa!!Aiseh! Kwel dunia uwanja wa fujo! Zaman ukiagiza castle light,safar, na serengeti unaonekana masikin! Henken ilikuwa bia ya midle level@ now balimi imekuwa almasi!
Balimi mkomboz wa wanyonge
Hakuna lolote...ni upepo tuKwenye hizi bia kuna sirii gani kubwa??
Hapo Magufuli ndio kacheza tutakunywa mpaka bia ya jero.Aiseh! Kwel dunia uwanja wa fujo! Zaman ukiagiza castle light,safar, na serengeti unaonekana masikin! Henken ilikuwa bia ya midle level@ now balimi imekuwa almasi!
Balimi mkomboz wa wanyonge
Hapo napata 3 nalala kabisaUhitaji pesa nyingi 5,000/ tu chali.
Hata Dar zimeadimikaTafadhalil tafadhali Morogoro kuna uhaba wa bia pendwa ya balami,kwa heshima na taadhima tunaomba haraka sana mtusambazie bia yetu pendwa kwani kwa jinsi mkuu alivyobana tutaua kwa njaa familia zetu ikiwa bia pendwa zitaendelea kuadimika.