Uhaba wa ajira wafanywa fursa na matapeli kipindi hiki kigumu

shelumwa

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
516
188
3e1c6c13efef8ec59b4ac9d29926ab4e.jpg


Kwenye hiyo elnet ndo maana nikawaambia msome maelexo kwanza maana mkituma email zenu. Kwa personal email kama
Yahoo
Gmail
Ymail
Hotmail
Na nyinginezo alafu watu wanajiita ni kampuni msitume maombi maana ni matapeli wanatumia njia hizo kupata taarifa zenu muhimu ikiwemo namba za simu pamoja na background yako yote kwa hiyo inakuwa rahisi hao watu kupata mawasiliano yako yote na kuwa rahisi wao kukutapeli kwa kukuelezea maneno matamu yenye kuonyesha wanakujua nje ndani tangia primary mpaka elimu yako ya mwisho bila wewe binafsi kuelewa watu hao ni wapi taarifa wamepata kumbe uliwapa wewe mwenyewe kwa kuwatumia wasifi wako yaan CV
KWA HIYO TUWE MAKINI MATAPELI NI WENGI PESA HAKUNA MTAANI WATU WANATUMIA MBINU NYINGI IKIWEPO HII YA KUTAFUTA AJIRA KAMA FURSA KWAO KUKUTAPELI TENA WANAKUSHAWISHI UTOE 10,000 eti UTAPATA 600,000 kwa mwezi yaani ni upuuzi mtupu
FUNGUA MACHO USIKURUPUKE TUKUTA MAOMBI HASA CV BILA KUSOMA MAELEZO NA PIA KUPITIA KWENYE WEBSITE HUSIKA KUJUA KAMA KWELI HIZO NAFASI WALIZOTANGAZA ZIPO KWELI AU LAAHA

KUCHUA TAHADHARI
 
Jamaniii daah Hali mbaya,.nna ndugu yangu leo Alikuwa Na kazi ya kuweka CV yake sawa kwa ajili ya kuwatumia hawa jamaaa,daah cjui nimwambie kuwa ni matapelii!????
 
Jamaniii daah Hali mbaya,.nna ndugu yangu leo Alikuwa Na kazi ya kuweka CV yake sawa kwa ajili ya kuwatumia hawa jamaaa,daah cjui nimwambie kuwa ni matapelii!????
aliyepost hiki kitu hana ushaidi kama ni matapeli au la coz ni kampuni iliyosajiliwa kisheria sema tu watu wakisikia vitu vyote vya mtandaoni wanahisi wanaibiwa. sasa niweka document halali zinazoonesha kuwa inatambuliwa na serekali kwa sababu kuna watu wamezoea kujaza wengine uoga kwa kutokujua kwao. kwa hiyo kaka wewe mwambie huyo mwenzako aendele tu na mchakato wakuomba. nadhani kwenye leseni ya biashara unaona location ipo wapi pi kweye cheti cha TRA kinaonesha wako wapi
jami2.jpeg
jamii.jpeg
 
aliyepost hiki kitu hana ushaidi kama ni matapeli au la coz ni kampuni iliyosajiliwa kisheria sema tu watu wakisikia vitu vyote vya mtandaoni wanahisi wanaibiwa. sasa niweka document halali zinazoonesha kuwa inatambuliwa na serekali kwa sababu kuna watu wamezoea kujaza wengine uoga kwa kutokujua kwao. kwa hiyo kaka wewe mwambie huyo mwenzako aendele tu na mchakato wakuomba. nadhani kwenye leseni ya biashara unaona location ipo wapi pi kweye cheti cha TRA kinaonesha wako wapiView attachment 476219 View attachment 476220
Sawa mkuu umeeleweka vema,.ila mm ni Dada sio kaka
 
UNAJITEKENYA ILI UTAPELI VIZURI
embu elezea kivi watu wanatapeliwa.
Je kuna mtu ulishawai kusikia katapeliwa?
Je wewe binafsi ulishawai kutapeliwa na Elnet?
Je ni njia zipi au kwa namna gani Elnet inaweza tapeli?
kama ukishindwa kujibu maswali hayo basi wewe ni muongo na pia unapotosha umma.
 
Ni mtandao wa matapeli, maana server yao haiko bongo, yaani inaishia .com. Pia kibaya ni kama DECI fulani.
 
Ni mtandao wa matapeli, maana server yao haiko bongo, yaani inaishia .com. Pia kibaya ni kama DECI fulani.
hapa unanionesha kwa jinsi gani huna uelewa wa mambo. ivi unajua hata platform unayotumia yaani jamii forum na yenyewe inaishia na .com
je na yenyewe ni ya nje?
au mwanzilishi wake ni wa nje?
je ofisi zao zipo nchi gan?

mfano millard ayo anaishi inchi gani?
kama nitanzania mbona blog yake inayo domain inayoishia na .com

please kama hujui domain zina maana gani wewe tulia kimya
sasa nenda katafute baathi ya hivi vitu
co.tz
go.tz
com
org .etc

pia katafute maana ya server domain na host
 
aliyepost hiki kitu hana ushaidi kama ni matapeli au la coz ni kampuni iliyosajiliwa kisheria sema tu watu wakisikia vitu vyote vya mtandaoni wanahisi wanaibiwa. sasa niweka document halali zinazoonesha kuwa inatambuliwa na serekali kwa sababu kuna watu wamezoea kujaza wengine uoga kwa kutokujua kwao. kwa hiyo kaka wewe mwambie huyo mwenzako aendele tu na mchakato wakuomba. nadhani kwenye leseni ya biashara unaona location ipo wapi pi kweye cheti cha TRA kinaonesha wako wapiView attachment 476219 View attachment 476220

Walisema nitume cv cha ajabu ile kutuma tu cv kwenye hiyo email yao nikajibiwa hivi



Hi Applicant!

I have the pleasure to inform you that the RECRUITMENT DEPARTMENT TEAM has received, reviewed and thoroughly discussed your credentials and has finally made a decision of calling you for a face to face interview.

BRIEF INTRODUCTION TO R.I.F.A CONSULTANTS CO. LTD
(Recruitment Department)

We are a general Consultancy firm with superb experience and expertise in almost all areas of consultancy with a base in Dar es salaam Tanzania - (OUR OFFICE IS LOCATED AT OHIO STREET - CLOSELY ADJACENT TO BARCLAYS BANK HOUSE - POSTA DAR ES SALAAM)
We conduct numerous operations in Tanzania and East Africa as a whole and indeed enjoy a very huge and healthy client database.
Due esteemed and outstanding services,have given us a chance to command and enjoy an extra-ordinary bigger market share in the consultancy field since our inception in February, 2010! We simply embrace and cherish excellent services with diligence.

ABOUT THESE POSTS AND THE EMPLOYMENT ARRANGEMENT:

We are recruiting ON BEHALF OF THE CLIENT (Heron Food Supermarket) this means that you will meet OUR CLIENT (who in this case will be your employer) on the Interview table come Saturday Fourth of March, 2017!
All candidates will be informed on the spot and all the allocation discussions and arrangements will be taken care of by the Employer.

INTERVIEW DATE / VENUES:

1. 04/03/2017 - KARENA HOTEL - SHINYANGA TOWN - (ask for the interview Hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

2. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - DAR ES SALAAM REGION - (ask for the interview hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

3. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - DODOMA REGION - (ask for the interview hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

4. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL -MOROGORO REGION - (ask for the interview hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

5. 04/03/2017 - MEATU HOTEL - SINGIDA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

6. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - TANGA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

7. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - ARUSHA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

8. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - MBEYA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

9. 04/03/2017 - NGASAMO HOTEL - RWAGASORE STREET - MWANZA CITY - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

10. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL- PWANI REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.


11. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL- MTWARA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.


TIME:
All interviews will be conducted from 09:00 A.M to 04:00 P.M in all the stated venues concurrently

NOTE:

1. WE WILL RUN 11 INTERVIEWS IN THE ELEVEN VENUES AT THE SAME TIME, SAME DATE!
2. MAKE SURE YOU GO TO ANY OF THE STATED VENUES AT THE RIGHT TIME

INTERVIEW SESSIONS:

1. Written interview - 1st. Session
2. Oral Interview - 2nd. Session
3. Verification of all the Certificates 3rd. Session

REQUIREMENTS:

1. All Original Certificates / Testimonials
2. Those with copies of the Original Certificates MUST LEGALLY VERIFY THEM. (Only genuine cases will be considered)
3. Those with Transcripts MUST COME WITH STAMPED ONES FROM THE RESPECTIVE INSTITUTIONS
4. Voter's Id plus Birth Certificate (not a must but very important)

REGISTRATION CRITERIA:

1. ALL APPLICANTS ARE REQUIRED TO REGISTER WITH TSHS. 16,500, ONLY - this amount should be sent to AIRTEL MONEY ACCOUNT NO: +255 783749091 (RIFA CONSULTANT LTD / RECRUITMENT DEPARTMENT) BEFORE OR ON THURSDAY 02/03/2017 by 7:00 P.M- (SAA MOJA JIONI)

NOTE:
This amount of money will cover the following;

1. Consultation fees for the whole Employment and Job-Search process
2. Interview allowances for all our INTERVIEWERS/ SPECIALISTS who will be spread across all REGIONS
3. We DO NOT ASK FOR ANY DEDUCTIONS FROM YOUR SALARY ONCE YOU GET EMPLOYED UNLIKE OTHER JOB-SEARCH COMPANIES and that is why we are well connected with International NGOs, COMPANIES, INSTITUTIONS all over EAST, CENTRAL, SOUTHERN AND WESTERN AFRICA!!
4. Stationery (pens, foolscap, clipboards plus venue charges ).

NOTE: PLEASE COME FOR THE INTERVIEW WITH THE AIRTEL MONEY TRANSACTION TEXT FOR VERIFICATION!



--
Mr. ABUBAKHAR GONDWE
RECRUITMENT DEPARTMENT AND LOGISTICS IN CHARGE
R.I.F.A CONSULTANTS CO. LTD
DAR ES SALAAM-TANZANIA.


Na cha ajabu kwenye ile website yao ni mapicha picha tu yasiyoeleweka uhuni
 
nahi
Walisema nitume cv cha ajabu ile kutuma tu cv kwenye hiyo email yao nikajibiwa hivi



Hi Applicant!

I have the pleasure to inform you that the RECRUITMENT DEPARTMENT TEAM has received, reviewed and thoroughly discussed your credentials and has finally made a decision of calling you for a face to face interview.

BRIEF INTRODUCTION TO R.I.F.A CONSULTANTS CO. LTD
(Recruitment Department)

We are a general Consultancy firm with superb experience and expertise in almost all areas of consultancy with a base in Dar es salaam Tanzania - (OUR OFFICE IS LOCATED AT OHIO STREET - CLOSELY ADJACENT TO BARCLAYS BANK HOUSE - POSTA DAR ES SALAAM)
We conduct numerous operations in Tanzania and East Africa as a whole and indeed enjoy a very huge and healthy client database.
Due esteemed and outstanding services,have given us a chance to command and enjoy an extra-ordinary bigger market share in the consultancy field since our inception in February, 2010! We simply embrace and cherish excellent services with diligence.

ABOUT THESE POSTS AND THE EMPLOYMENT ARRANGEMENT:

We are recruiting ON BEHALF OF THE CLIENT (Heron Food Supermarket) this means that you will meet OUR CLIENT (who in this case will be your employer) on the Interview table come Saturday Fourth of March, 2017!
All candidates will be informed on the spot and all the allocation discussions and arrangements will be taken care of by the Employer.

INTERVIEW DATE / VENUES:

1. 04/03/2017 - KARENA HOTEL - SHINYANGA TOWN - (ask for the interview Hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

2. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - DAR ES SALAAM REGION - (ask for the interview hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

3. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - DODOMA REGION - (ask for the interview hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

4. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL -MOROGORO REGION - (ask for the interview hall by the entrance gate or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

5. 04/03/2017 - MEATU HOTEL - SINGIDA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

6. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - TANGA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

7. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - ARUSHA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

8. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL - MBEYA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

9. 04/03/2017 - NGASAMO HOTEL - RWAGASORE STREET - MWANZA CITY - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.

10. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL- PWANI REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.


11. 04/03/2017 - CCM MKOANI HALL- MTWARA REGION - (ask for the interview hall by the main entrance or call this number +255 686 479 958 on interview date for more clarifications.


TIME:
All interviews will be conducted from 09:00 A.M to 04:00 P.M in all the stated venues concurrently

NOTE:

1. WE WILL RUN 11 INTERVIEWS IN THE ELEVEN VENUES AT THE SAME TIME, SAME DATE!
2. MAKE SURE YOU GO TO ANY OF THE STATED VENUES AT THE RIGHT TIME

INTERVIEW SESSIONS:

1. Written interview - 1st. Session
2. Oral Interview - 2nd. Session
3. Verification of all the Certificates 3rd. Session

REQUIREMENTS:

1. All Original Certificates / Testimonials
2. Those with copies of the Original Certificates MUST LEGALLY VERIFY THEM. (Only genuine cases will be considered)
3. Those with Transcripts MUST COME WITH STAMPED ONES FROM THE RESPECTIVE INSTITUTIONS
4. Voter's Id plus Birth Certificate (not a must but very important)

REGISTRATION CRITERIA:

1. ALL APPLICANTS ARE REQUIRED TO REGISTER WITH TSHS. 16,500, ONLY - this amount should be sent to AIRTEL MONEY ACCOUNT NO: +255 783749091 (RIFA CONSULTANT LTD / RECRUITMENT DEPARTMENT) BEFORE OR ON THURSDAY 02/03/2017 by 7:00 P.M- (SAA MOJA JIONI)

NOTE:
This amount of money will cover the following;

1. Consultation fees for the whole Employment and Job-Search process
2. Interview allowances for all our INTERVIEWERS/ SPECIALISTS who will be spread across all REGIONS
3. We DO NOT ASK FOR ANY DEDUCTIONS FROM YOUR SALARY ONCE YOU GET EMPLOYED UNLIKE OTHER JOB-SEARCH COMPANIES and that is why we are well connected with International NGOs, COMPANIES, INSTITUTIONS all over EAST, CENTRAL, SOUTHERN AND WESTERN AFRICA!!
4. Stationery (pens, foolscap, clipboards plus venue charges ).

NOTE: PLEASE COME FOR THE INTERVIEW WITH THE AIRTEL MONEY TRANSACTION TEXT FOR VERIFICATION!



--
Mr. ABUBAKHAR GONDWE
RECRUITMENT DEPARTMENT AND LOGISTICS IN CHARGE
R.I.F.A CONSULTANTS CO. LTD
DAR ES SALAAM-TANZANIA.


Na cha ajabu kwenye ile website yao ni mapicha picha tu yasiyoeleweka uhuni
nahisi utakua umechanganya kwani sio wewe pekee yako uliapply kama kuna mwingine aje atoe ushaidi kama huo wa kwako kwani hapo mwesho hilo tangazo halioneshi kama limetoka elnet Africa. R.I.F.A CONSULTANTS CO. LTD hii ndio kampuni inayo husika na swala la udanganyifu kama huo. nenda office za elnet Sinza C ukapate mwongozo kama ni wao wamekutumia . mimi naona uliapply sehemu nyingi nyingi tofauti sasa umejibiwa na matapeli
 
embu elezea kivi watu wanatapeliwa.
Je kuna mtu ulishawai kusikia katapeliwa?
Je wewe binafsi ulishawai kutapeliwa na Elnet?
Je ni njia zipi au kwa namna gani Elnet inaweza tapeli?
kama ukishindwa kujibu maswali hayo basi wewe ni muongo na pia unapotosha umma.
Lakini hilo tangazo alilopost halijitoshelezi kwanza anataka watu wa career ipi maanake watu mtu anaweza kuitwa doctor lakini kuna doctor wa meno, watoto au mifupa nk. Pia hayo malipo hajayaweka kwa range kulingana na career. Pia hajataja hizo ofisi zake zinahusika na nini yeye kakimbilia kuwataka vijana wa elimu ya juu,na vijana kweli wamesoma tena katika nyanja mbalimbali sasa kama hamuainishi nyanja za watu mnaowahitaji sisi tuwaelewaje?
aliyepost hiki kitu hana ushaidi kama ni matapeli au la coz ni kampuni iliyosajiliwa kisheria sema tu watu wakisikia vitu vyote vya mtandaoni wanahisi wanaibiwa. sasa niweka document halali zinazoonesha kuwa inatambuliwa na serekali kwa sababu kuna watu wamezoea kujaza wengine uoga kwa kutokujua kwao. kwa hiyo kaka wewe mwambie huyo mwenzako aendele tu na mchakato wakuomba. nadhani kwenye leseni ya biashara unaona location ipo wapi pi kweye cheti cha TRA kinaonesha wako wapiView attachment 476219 View attachment 476220
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom