Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 274
- 646
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaendelea na zoezi la urejeshaji wa nauli kwa abiria aliyeshindwa kusafiri Desemba 31, 2025 jioni na Januari 1- 2, 2025 kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu.
Hata hivyo zoezi hili limekumbwa na ugumu kufuatia baadhi ya abiria kukatiwa tiketi na watu wengine hivyo mawasiliano yao (simu ama email) kutokuwamo katika mfumo wetu wa tiketi hivyo kusababisha kikwazo cha mawasiliano baina ya pande zote hususani abiria aliyelipa na kusafiri. Ndugu abiria na mteja, Shirika linaomba radhi kwa changamoto iliyojitokeza.
Kwa mawasiliano zaidi juu ya suala hili, tafadhali wasiliana nasi kupitia nambari ya huduma kwa wateja 0800 110 042, WhatsApp 0738 594962 ama tutumie namba yako ya simu inbox (DM) kupitia Account yetu ya Instagram “tzrailways”
Huduma bora kwa wateja wetu ndiyo kipaumbele cha Shirika.
Ahsanteni.
Pia soma:
~ KERO - TRC mli-cancel safari yetu ya SGR ila kurudisha nauli imekuwa ngumu na hampokei simu!
~ TRC wafafanua kinachokwamisha urejeshaji nauli kwa abiria walioshindwa kusafiri Desemba 31, 2025 hadi Januari 2, 2026
Hata hivyo zoezi hili limekumbwa na ugumu kufuatia baadhi ya abiria kukatiwa tiketi na watu wengine hivyo mawasiliano yao (simu ama email) kutokuwamo katika mfumo wetu wa tiketi hivyo kusababisha kikwazo cha mawasiliano baina ya pande zote hususani abiria aliyelipa na kusafiri. Ndugu abiria na mteja, Shirika linaomba radhi kwa changamoto iliyojitokeza.
Kwa mawasiliano zaidi juu ya suala hili, tafadhali wasiliana nasi kupitia nambari ya huduma kwa wateja 0800 110 042, WhatsApp 0738 594962 ama tutumie namba yako ya simu inbox (DM) kupitia Account yetu ya Instagram “tzrailways”
Huduma bora kwa wateja wetu ndiyo kipaumbele cha Shirika.
Ahsanteni.
Pia soma:
~ KERO - TRC mli-cancel safari yetu ya SGR ila kurudisha nauli imekuwa ngumu na hampokei simu!
~ TRC wafafanua kinachokwamisha urejeshaji nauli kwa abiria walioshindwa kusafiri Desemba 31, 2025 hadi Januari 2, 2026