Kuwa na Nia ya dhati kabisa ya kuacha na anza kuacha pole pole. Kama ulikuwa unakula Mara 7, punguza Hadi Mara 6 then 5 Hadi uache kabisa. Huwezi kuacha kwa gafla Utapata arosto, pole pole tu Hadi mwili uzoee.
Pia omba Mungu Maana kutoka kwenye addicted ni ngumu, wengi wanaacha Halafu Wana relapse Yani wanarudia Tena.
All the best Brother