Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Msaada jamani nina vidonda vya tumbo visivyosikia dawa huu ni mwaka sasa yani nawaka moto tumboni na mgongoni nishatumia mpaka heligo kit.

Hospitali nimeambiwa nina gerd hpyrol+ve hiatus hernia duodenal ulcer hlw hyo hiatus hernia walikipima kwa kipimo gani maaan mm celew kma ninayo hiyo ila walipma endoscope ila hawakuniambia tatizo langu vzr
 
Yap yap, lazma urud kuwapasha habari !
Mkuu kwema? Nitakribani mwezi sasa tangu unitumie dawa baada ya mm kushida offer yako hapa jukwaani..

Leo napenda kutoa ushuhuda kama ilivyo ada,kiukweli dawa yako ni nzuri sana maana tangu nimeitumia sioni shida zozote maana mwazo nilikuwa nasumbuliwa na tumbo kuuma na kujaa gesi ma kichefuchefu kwa sana lakn tangu nimetumia dawa hiyo mambo yako vzr kabisa na nimechukua mda mrefu kabla sijaja kusema hapa ili nihakikishe hiki ninachokiongea hapa,asanteni sana.
 
Bado sijapona

Tiba ya Vidonda vya tumbo ni kubadili utaratibu wa maisha.

Kula kwa wakati
Usile baada ya mbili usiku
Achana kabisa na vyakula vyenye gesi
Punguza stress
Fanya mazoezi
Kula matunda na mboga za majani
Anza Clinic hospital
Achana na pombe
Achana na Chipsi
Achana na vyakula vya ngano
Gonga sana Tangawizi na Asali
Kunywa maji vya kutosha


Mimi hili tatizo limenitesa sana lakini hayo niliyokuandikia yamenisaidia. Ukitaka Dr Mzuri nenda muhimbili kwa Dr Rwegasha anajua sana.
 
Wakuu habarini poleni namajukum mwenzenu nateseka namadonda yatumbo nimetumia dawa hospitalini nakienyeji hazijanisaidia mpaka Sasa mwenye kujua Tiba Zaid anielekeze
 
Tiba ya Vidonda vya tumbo ni kubadili utaratibu wa maisha.

Kula kwa wakati
Usile baada ya mbili usiku
Achana kabisa na vyakula vyenye gesi
Punguza stress
Fanya mazoezi
Kula matunda na mboga za majani
Anza Clinic hospital
Achana na pombe
Achana na Chipsi
Achana na vyakula vya ngano
Gonga sana Tangawizi na Asali
Kunywa maji vya kutosha


Mimi hili tatizo limenitesa sana lakini hayo niliyokuandikia yamenisaidia. Ukitaka Dr Mzuri nenda muhimbili kwa Dr Rwegasha anajua sana.
Ina maana vidonda tumbo haviponi?
 
Moja kwa moja kwenye mada wanajamii kma nilivyosema hapo juu ninavidonda vya tumbo naombeni msaada jaman kujua dawa hata za asili
 
Moja kwa moja kwenye mada wanajamii kma nilivyosema hapo juu ninavidonda vya tumbo naombeni msaada jaman kujua dawa hata za asili
Chukua maji ya vuguvugu kikombe kimoja cha chai kisha chukua kijiko cha chai cha binzari weka kwenye maji hayo na ukoroge vizuri kisha weka kijiko kimoja kikubwa cha asali kwenye mchanganyiko wako huo koroga tena na unywe kikombe
kimoja asubuhi, kingine mchana na kingine jioni. Tumia dawa hii kwa wiki tatu hadi mwezi kwa uwezo wa Mungu utakuwa umepona.

NB: Usile au kunywa vya viwandani na ambavyo vimetengenezwa kwa unga wa ngano
 
Chukua maji ya vuguvugu kikombe kimoja cha chai kisha chukua kijiko cha chai cha binzari weka kwenye maji hayo na ukoroge vizuri kisha weka kijiko kimoja kikubwa cha asali kwenye mchanganyiko wako huo koroga tena na unywe kikombe
kimoja asubuhi, kingine mchana na kingine jioni. Tumia dawa hii kwa wiki tatu hadi mwezi kwa uwezo wa Mungu utakuwa umepona.

NB: Usile au kunywa vya viwandani na ambavyo vimetengenezwa kwa unga wa ngano
Binzari hii tunayoweka kwenye chakula wakati mwingine?

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Jamani wanajamvi naomba msaada wenu nina vidonda vya tumbo vinanisumbua nasikia maumivu mpaka kwenye nyonga,hadi sehemu zinapoishia mbavu,nimetumia dawa za hospital wapi,je kuna tiba mbadala maana nasikia mkojo unatibu ni kweli?
Vipi sasa hivi mkuu umepona vidonda vya tumbo ni dawa gani ume tumia maana nahisi dalili kama zako pia.
 
Msidanagnyike wana JF,vidonda vya tumbo mpaka sasa havina dawa,dawa zilizopo ni hupunguza uzalishaji wa acid tumboni ambayo ndo husababisha maumivu kwa kipindi cha mwaka mpaka miaka miwili,na katika kipindi hicho vidonda ndo huwa vinapata nafasi ya kupona naturally taratibu,ni baada ya muda huo acid itakapoanza kuzalishwa kwa njia ya kawaida inakuta vidonda vimeshapona.na katika kipindi hicho inabidi uache kunywa pombwe,vyakula vya acid na spies,mi nimekaa na vidonda kwa miaka mitano na nimefuata masharti hayo na napona sasa.HAKUNA DAWA YA ULCERS kwa maana ya ukitumia unapona kama unavyopona kidonda kilichopo mguuni.
Dawa gani ya kupunguza acid uli tumia ?!
 
Dawa gani ya kupunguza acid uli tumia ?!

Okay kuna Mizizi flani hivi ukitumia ina matokeo mazuri, hata kwa wale wasio ruhusiwa kula baadhi ya vyakula ila akitumia hiyo dozi imeleta matokeo chanya kabisa… Tumebarikiwa Miti tuitumie… ntakutajia jina ila hapa nalijua jina la huo mti kwakilugha ndo natafuta kiswahili chake
 
Back
Top Bottom