Ney pj
Member
- Mar 3, 2022
- 12
- 2
Msaada jamani nina vidonda vya tumbo visivyosikia dawa huu ni mwaka sasa yani nawaka moto tumboni na mgongoni nishatumia mpaka heligo kit.
Hospitali nimeambiwa nina gerd hpyrol+ve hiatus hernia duodenal ulcer hlw hyo hiatus hernia walikipima kwa kipimo gani maaan mm celew kma ninayo hiyo ila walipma endoscope ila hawakuniambia tatizo langu vzr