Ugonjwa wa madonda koo (Tonsels)

Ugonjwa wa madonda koo (Tonsels)

Nashukuru sana mkuu kwa maelezo yakinifu. Kwa mm mwenye approx 34 haifai kuziondoa kwa opereshen? Maana nilitaka niungane na wanangu ili sote tuondokane na hizi changamoto
Habari za jion wadau. Naomba nitumie nafasi hii kutoa mrejesho kwa swala la Tonsils kwa watoto wangu. wamefanyiwa opereshen kwa tarehe tofauti na alhamdulillah Mwenyez Mungu ametujaalia zoezi limekwenda vyema na sasa wanaendelea vizuri sana. Wakubwa imani za kiswahili kwamba mtoto ukimpa vitu vya barua anapatwa kifua ndio lililotutesa miaka zaidi ya 6 huku watoto wanateseka kwa maumivu makal kila wanapokula vitu vyenye asili ya ubaridi hizi dawa zingine za kikohozi ilikua kama juice tu haziwasaidii hadi kuchomwa sindano. Hivyo tusisite kuchukua hatua mapema.
 
Tonsilitis viral and most of the time bacterial infection haisabaishwi na vitu vya baridi INASABISHWA Kwa njia ya hewa dawa NZURI tafuta azithromycin au Kwa jina maarufu AZUMA
 
Maji ya vuguvugu na chumvi kwenye kikombe cha chai ndio dawa Yake, acha kabisa vinywaji vilivyo na ubaridi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom