King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,749
- 68,779
Pole mkuu,jitahidi kwenda kuuliza wizara ya afya kama kuna msaada wa kutibiwa kwa wasiojiweza,pia jaribu kwenda kwa kina mengi ,raisi,ofisi ya bunge kwa assistance,na imani utapata msaada wa kifedha.