Ugonjwa wa Funza

Ugonjwa wa Funza

Tiba yake ni nini,endapo mtu atawapata?
Mivyumba na wengine msiowafahamu Funza. Funza si ugonjwa wa ngozi kwamba unatumia dawa.Hayo mabakamabaka unayoyaona kuna wadudu wanaishi humo.Ni wadudu wadogo sana wanapendelea ngozi ya miguu.Wanatoboa wanaingia wakishaingia wanakua humo ndani ya ngozi hadi ukubwa wa inzi.Kama unafahamu kiini cha jipu basi ndivyo wanavyofanana.
Chanzo:Uchafu hususani kukojoa ndani ya nyumba kule vijijini wakati wa usiku,watu hawatoki nje kukojoa usiku na wala kutumia beseni,sufuria nk.na mbaya sana nyumba ambazo hazina sakafu ya simenti.Mkojo kwenye udongo na uchafu mwingine ndivyo chanzo kikuu cha mazalia yao.
Daaah nimecheka Hatariiii mkuu unamajibu mepes kinoma
 
Mivyumba na wengine msiowafahamu Funza. Funza si ugonjwa wa ngozi kwamba unatumia dawa.Hayo mabakamabaka unayoyaona kuna wadudu wanaishi humo.Ni wadudu wadogo sana wanapendelea ngozi ya miguu.Wanatoboa wanaingia wakishaingia wanakua humo ndani ya ngozi hadi ukubwa wa inzi.Kama unafahamu kiini cha jipu basi ndivyo wanavyofanana.
Chanzo:Uchafu hususani kukojoa ndani ya nyumba kule vijijini wakati wa usiku,watu hawatoki nje kukojoa usiku na wala kutumia beseni,sufuria nk.na mbaya sana nyumba ambazo hazina sakafu ya simenti.Mkojo kwenye udongo na uchafu mwingine ndivyo chanzo kikuu cha mazalia yao.
Funza hiletwa na viroboto
 
Ni nature ya udongo Wa kigoma.udongo Mwekundu na vumbi,funza hupendelea sana,hapo inabidi kuvaa viatu vya kufunika na sio uchafu.
 
Bibi alikuaga ananipaka mawese mguuni kisha nasogeza mguu kwenye moto wa mkaa.
Dakika tano hazipiti funza huyo anatoka mwenyewe!
Sema inataka uvumilivu maana ni kama upakwe mafuta halafu ubanikwe jikoni
 
Bibi alikuaga ananipaka mawese mguuni kisha nasogeza mguu kwenye moto wa mkaa.
Dakika tano hazipiti funza huyo anatoka mwenyewe!
Sema inataka uvumilivu maana ni kama upakwe mafuta halafu ubanikwe jikoni
Naona umefufua uzi... ina maana ulikuwa na miguu kama hiyo kwenye picha?
 
Bibi alikuaga ananipaka mawese mguuni kisha nasogeza mguu kwenye moto wa mkaa.
Dakika tano hazipiti funza huyo anatoka mwenyewe!
Sema inataka uvumilivu maana ni kama upakwe mafuta halafu ubanikwe jikoni

Funza akitoka anakwenda wapi?
 
Kama haujawahi kuona ugonjwa wa Funza pita hapa ushuhudie.
Hivi kwenu wapo?

c02beb0d1d601b2648836fce4f2a6af2.jpg
Duuh pole sana Mkuu...vp bado hujapona?
 
Back
Top Bottom