Mkuu suala Binafsi la usafi wa mtu na mazingira yake CCM wanatokea Wapii!???CCM kwa laana za hawa watu wanaoteseka hivi mtakuwa na mengi ya kujibu siku ya Kiyama.
Mkuu suala Binafsi la usafi wa mtu na mazingira yake CCM wanatokea Wapii!???

Kwani hujui uhusiano wa CCM na funza?Mkuu suala Binafsi la usafi wa mtu na mazingira yake CCM wanatokea Wapii!???
Daaah nimecheka Hatariiii mkuu unamajibu mepes kinomaKwani hujui uhusiano wa CCM na funza?
Kama haujawahi kuona ugonjwa wa Funza pita hapa ushuhudie.
Hivi kwenu wapo?
![]()
Kwanini? Huwa wanafuga hayo makitu.Hiyo lazma ni kigoma hiyo
Ndo nami nashangaa kwanini yakae huko kwa wingi, labda ni mifugoKwanini? Huwa wanafuga hayo makitu.
Tiba wanayo ccm mkuu....Daaah nimecheka Hatariiii mkuu unamajibu mepes kinoma

