Ugonjwa Mpya wa Slaughtersiskwasis

Kuna uwezekano ugonjwa huu ukazaa ugonjwa wa Chinjamafisadilosis. Hii ni dalili kwamba sasa watanzania wameanza kuchukua Hatua mikononi.
hUU NI MZURI SANA..WACHA UJE BANA...HUENDA UKIISHA WENYEWE, UKAJA UGONJWA MWINGINE MPYA KABISA WA MAISHA-BORAKWA-KILA MTANZANIAMYCIN
 
Afadhali umenena, Wadanganyika wabishi sana, baada ya kubwa propaganda za nchi ya amani na utulivu, hawataki kukubali kuwa tunaweza kuishia kuwa kama Rwanda, Somali na Sudan!
 
Siwawezi na teminology! Sasa Maisha-bora-kwalimtanzaniamycin ni dawa ama Ugonjwa?
 
hUU NI MZURI SANA..WACHA UJE BANA...HUENDA UKIISHA WENYEWE, UKAJA UGONJWA MWINGINE MPYA KABISA WA MAISHA-BORAKWA-KILA MTANZANIAMYCIN

Last time I checked, ugonjwa huu ulishambulia Burundi, Rwanda, Angola, Mozambique, Burkina Faso, Nigeria, Sierra Leone na sasa Somalia labda matokeo yake ndio haya unayoyaita MAISHA-BORAKWA-KILA MTANZANIAMYCIN

Hapo kwa kweli mkuu inabidi Viongozi wetu wawe makini. Mwenyezi aepushie mbali.
 
Tufanye Tamasha kubwa lingine la "ZINDUKA" na tuwachaji walalahoi zaidi ya Shilingi 10,000/= kila mmoja atakaye jumuika katika tamasha hii, ili kuwatokomeza kabisa hao walalahoi katika jamii. Tuwape hao Mafisadi hizo pesa ili wanunue silaha kabambe kutoka China za kutumaliza kabisa, ili tuwe "LAST GENERATION" wa kuambukizwa na ugonjwa huu hatari wa "SLAUGHTERSISKWASIS"
 

hapana.. si kwa yote!! naomba atuletee mafisadinyongaria kama kule China ili kuepusha maenezi yake kwenye jamii!
 

Haswaaaaaaa..........Hapa sina cha kuandika. Mkubwa You have made my day!!!!!!!! Big uuuuppppp!!!!!!!!!
 
Ninja niazime kisu chako......Nisaidie mwenzio naumwa....nikisikia harufu ya fisadi homa inazidi........Nipe hicho kisu ebo.
 
hapana.. si kwa yote!! naomba atuletee mafisadinyongaria kama kule China ili kuepusha maenezi yake kwenye jamii!

Revenge is the beginning of evalasting revenge. Inabidi tupate njia bora ya kuepusha kunyongana na kuchinjana kwa manufaa ya nchi yetu leo na kesho. Uchungu na visasi mwishowe ni kumalizana.
 
Ninja niazime kisu chako......Nisaidie mwenzio naumwa....nikisikia harufu ya fisadi homa inazidi........Nipe hicho kisu ebo.

Maadili yake hutayaweza. You smell too emotional for Ninjutsu Weapons.
Love is the best weapon of all. Hunger blinds good judgement.
 


yani mkuu umenichekesha siwezi simulia yani
 
Revenge is the beginning of evalasting revenge. Inabidi tupate njia bora ya kuepusha kunyongana na kuchinjana kwa manufaa ya nchi yetu leo na kesho. Uchungu na visasi mwishowe ni kumalizana.

Kule kote wanakonyonga mafisadi kuna everlasting revenge?
 
Kule kote wanakonyonga mafisadi kuna everlasting revenge?

Slaughtersiskwasis haijui mahakama ni kitu gani. Yenyewe haifuati sheria, inachukua sheria mikononi. Na wengi wa wanaochinjwa hawana hatia. Hapa ndipo revengeliosis inapochukua mkondo. Utabaki wewe na spouse wako na mtakuja kugundua kuwa mmeuliana ndugu na nyinyi mtauana.

Mwisho nchi itakuwa ukiwa tena utupu na giza litaifunika Tanzania. Huu ugonjwa unakwenda kinyume na uumbaji wa Bwana Mungu. Wenyewe unafanya kinyume sijui niite uumbuaji.

Viongozi wetu inabidi wasidharau huu ugonjwa, yanayotokea tarime yanaweza kutokea pale Lithuli Street sikumoja. Badala ya harufu ya samaki kutoka sokoni pale chini inaweza kuwa harufu ya damu za watu na kinyesi.
 

Wee Ninja vipi bana...!! Hii unayoongelea ni totality ya Kiamatosis na huwa siyo rahisi kutokea. Imetokea miaka ya 1945, kisha ikatokea Rwanda na kule Bosnia. Chanzo chake kama ulivyo point ni hiyo slaughtersiskwasis. Ni kweli kabisa kwamba slaughtersiskwasis ni mbaya na ni bora kuepukika kwa bidii zetu na nguvu zote za dola. Maana Kiamatosis ikiingia, hiyo ni point of no return. Hapo tunaanza kusubiria intervention ya UN tu.

Niliyokuwa naongelea mimi ni moja ya tiba au kinga za slaughtersiskwasis. Kwani kutumia fisadinyongaria ni probiotic bacteria walio friendly kwenye system. Na prescription yake inafata katiba na sheria tulizojiwekea hivyo dose haiwezi kuzidi kimakosamakosa, wala system yetu Watanzania haiwezi kuireject kwa kukosa antibodies au antigens.

Nimetoa mfano wa China, pia naamini kuna jamii nyingine nyingin zitumiazo fisadinyongaria bila kuwa na negative impact yoyote kwenye jamii hizo. Ni wakati umewadia nasi tu introduce fisadinyongaria kama kinga ya slaughtersiskwasis. Tukishindwa kabisa, basi mimi nadhani ni bora tu-introduce walau tu vibokomatakonicillin kama moja ya antibiotics kwenye jamii yetu.
 

Maumivu ya kichwa huanza pooole pole...!!
 

Usiku tulimkimbiza akashube hospitali na laptop yake. Amecheka mpaka mbavu zimeachia, tulipeleka laptop kama kidhibiti ili tupate PF 3 tukakushtaki. Tulipofika Polisi Askari wote waliosoma hii ngoma wamekimbizwa hospitali. Kamanda mmoja asiyejua vizuri kiswahili alifanikiwa kusoma, alipofika kwenye VIBOKOMATAKONICILLIN.........amecheka mpaka amepoteza fahamu.

Mimi tu nimepona, mimi kukuletea habari.

TUNAOMBA ULIPIE GHARAMA ZA MATIBABU TU. WE UMEWEHUKA NINI????UNATAKA KUUA WATU KWA CHEKAMPAKAUFELOMANIA.........!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…