Pole kwa kuuguliwa.
1: Mtoto ana umri gani?
2: Vinawasha hivyo vipele?
3: Wazazi kati yenu kuna mwenye mzio/allergy na chakula chochote?
4: Mtoto huyu anapewa kati ya vitu vifuatavyo: Maziwa ya ng'ombe, blue band au karanga?
Majibu hapo juu yatasaidia kukuandikia dawa na taratibu anazoweza kufanya ili hali isijirudie au toa mawasiliano ili tuweze kuwasiliana na kufahamu zaidi tatizo la mtoto.
Nimekosea sawa mimi sio daktari. Huenda hakuna lakini kwa mimi ninayetibiwa kwa kutumia mizizi na magome ya miti, wazee washazoea kuita mchafuko wa damu. Kwa wataalamu kama nyie hakuna kitu kama hicho.