Ugonjwa huu unamsumbua mtoto, Msaada wa dawa jamani

Zaburi 23

JF-Expert Member
Feb 22, 2017
570
650
mwanangu anahangaika sanaaa kachoma sindano WAP Msaada wa dawa bac
FB_IMG_15852921091995144.jpeg
FB_IMG_15852921024404163.jpeg
FB_IMG_15852920931783091.jpeg
FB_IMG_15852920845916095.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Mama
Hapo ni kwa specialist tuu
Daktari wa ngozi yupo Regency hospital Dar es salaam Nimewahi Kwenda
 

Pole kwa kuuguliwa.
1: Mtoto ana umri gani?
2: Vinawasha hivyo vipele?
3: Wazazi kati yenu kuna mwenye mzio/allergy na chakula chochote?
4: Mtoto huyu anapewa kati ya vitu vifuatavyo: Maziwa ya ng'ombe, blue band au karanga?
Majibu hapo juu yatasaidia kukuandikia dawa na taratibu anazoweza kufanya ili hali isijirudie au toa mawasiliano ili tuweze kuwasiliana na kufahamu zaidi tatizo la mtoto.
 
Narudia tena huyo mtoto mpeleke kwa DERMATOLOGIST,

Mpeleke ili baadae usijekusema kalogwa ,

tena ikiwezekana wahi mapema zidi.
 
Mwanangu alikua na design Hiyo Ila Miguuni
nikapewa Erythromycin ya maji
Ndani ya wiki vikakauka yamebakia makovu madogo madogo.
 
Hakunaga kitu kinaitwa mchafuko Wa dam mjomba,hzo myth ni za zaman sana skutegemea kabisa useme hvyo
Nimekosea sawa mimi sio daktari. Huenda hakuna lakini kwa mimi ninayetibiwa kwa kutumia mizizi na magome ya miti, wazee washazoea kuita mchafuko wa damu. Kwa wataalamu kama nyie hakuna kitu kama hicho.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom